TBT enzi za chuo kikuu

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uduguu nimechekaaa hadi machoziii, usingizii umeishaaa wallah, CW wako ananipa raha mnooo.

[emoji23][emoji23][emoji23] uduguu usicheke sana
 
Ukiongea hivyo kuna hisia unaziamsha [emoji3059][emoji3059]
Tuondoke uduguu katukimbia [emoji23][emoji23]
Nipoooo usingizii umekataaaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
CW wako ananivunjaa mbavu mnoo, kwann lakini anafanyaa hivii??
 
[emoji23][emoji23][emoji23] Nasema nataka nikajiweke kwa baba Zuri
Uduguuuu nimecheka kwa nguvu mnoo, majirani sijui kesho watanionajee. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Kwann lakino?? Mnafanya hivyooo
 
Nipoooo usingizii umekataaaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
CW wako ananivunjaa mbavu mnoo, kwann lakini anafanyaa hivii??

[emoji23][emoji23][emoji23] anatuona matoy anayochezea Baya
 
[emoji23][emoji23][emoji23] anatuona matoy anayochezea Baya
Yaan kila akimuongelea Nick, mbavu mie huku zinapasuka kwa kucheka. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Uduguuuu nimecheka kwa nguvu mnoo, majirani sijui kesho watanionajee. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Kwann lakino?? Mnafanya hivyooo

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] watajua unatekenywa na shem
CW sijui ananichukuliaje? Halafu kwanini wote watatu tuna user name inayoanzia na “C” uduguu??
 
[emoji23][emoji23][emoji23] mume nimepata, anamdanganya mpk mkewe
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] alipoanza kuongelea Joh, usingizi ukayeyukaa na nilijua lazima Nick ataingiziaa.

Kaniacha hoi hapo kwa Nick eti Elimu, siasa na uongozi ndo umemuweka buzzy, ila CW simuwezii.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] watajua unatekenywa na shem
CW sijui ananichukuliaje? Halafu kwanini wote watatu tuna user name inayoanzia na “C” uduguu??
Kwahiyo ni tripple C [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Muambie CW apunguze dramaa, V8 hiyo atupagee tuzunguke nayo town, kibaha sio mbali hapo.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] alipoanza kuongelea Joh, usingizi ukayeyukaa na nilijua lazima Nick ataingiziaa.

Kaniacha hoi hapo kwa Nick eti Elimu, siasa na uongozi ndo umemuweka buzzy, ila CW simuwezii.

Acha tu! Sijui fan gani anayeshabikia wasanii 5 kwenye kundi moja?! [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwahiyo ni tripple C [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Muambie CW apunguze dramaa, V8 hiyo atupagee tuzunguke nayo town, kibaha sio mbali hapo.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tripple C wote vichwa vina mawenge ingawa mimi nina unafuu
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] afu kakimbiaaa

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hawez kukaa mada km hizi hazipendi!! Sema kashapenda la sivyo tungeoga matusi hapa.

Sweet Mangi wangu ss hivi hapendi kelele [emoji3059][emoji3059]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…