#TBT Kipanya: Clouds TV hawana kipindi chochote cha maana ukiacha taarifa ya habari pekee

Mkaruka

JF-Expert Member
Joined
Feb 5, 2013
Posts
19,629
Reaction score
34,199
Wadau,

Leo nimeona tujikumbushe na suala hili, moja ya kumbukumbu ni kwamba mchora katuni maarufu Masoud Kipanya siku Clouds TV wanafanya sherehe ya kuanza kuonekana DSTV, aliwaponda kupitia ukurasa wake wa facebook kwamba hawana kipindi chochote cha maana, ukishaangalia taarifa ya habari ndo basi tena

[HASHTAG]#Sasa[/HASHTAG] kaajiriwa na hao hao wenye vipindi vya ovyo
 
Sasa ulitaka aende akabadilishe kwani yeye ni Mkurugenzi wa vipindi?!
 
Inawezekana kipindi akisema hayo ndivyo ilivyokuwa, inawezekana pia sasa nhivi kuna tofauti ndo maana na yeye yumo mumo!

Biashara yoyote, ikiwemo hii ya matangazo hutegemea umakini wa mwekezaji ili iweze kukua!!
 
Hapo alizungumzia Clouds Tv nayeye yupo Clouds Radio,hivyo basi mpaka leo bado yupo sahihi.
 
Siyo kama nyie huko maofisini mnaogopa kumwambia boss wenu ukweli hata kama kafanya kitu cha kipuuzi...
 
Yule clouds media walimfuata na akawapa terms zake nao walikubali acha apige pesa .
 
Siyo kama nyie huko maofisini mnaogopa kumwambia boss wenu ukweli hata kama kafanya kitu cha kipuuzi...
Kwani yeye anaweza kumpinga boss wake ?
 
kwanza weka ushahidi wa picha bila hivyo huu tutauita ni udaku tu
pili acha kufukua makabuli mkuu hujui kwamba yaliyopita si ndwele?
 
kwanza weka ushahidi wa picha bila hivyo huu tutauita ni udaku tu
pili acha kufukua makabuli mkuu hujui kwamba yaliyopita si ndwele?
Hakuna cha "Yaliyopita" kuna watu wamekuwa ni magwiji wa unafiki mpaka wanakera
 

We ulitakaje kwa mfano unataka tufanyeje yaani mbona kama umeishia njiani husemi unataka nini?..
 
Ni sawa tu hata Bashite alifeli mtihani wa darasa la 4 mara tatu lakini anawaongoza wasomi Dar
Ni kweli. Mange na Gwajima wamesema ni Bavicha gani wa kubisha ?
 
Ni kweli. Mange na Gwajima wamesema ni Bavicha gani wa kubisha ?
Unaambiwa weka ushahidi umeanza kuleta maneno ya kwenye kanga!
Kama umeshindwa kuweka ushahidi nenda kaungane na akina mama kupiga udaku wako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…