TBT: Mo Dewji na Ali Hassan Mwinyi kwenye kuipokea simba 2003

TBT: Mo Dewji na Ali Hassan Mwinyi kwenye kuipokea simba 2003

nzagambadume

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2018
Posts
2,430
Reaction score
5,779
ilikuwa 2003 mabingwa watetezi wa Africa walipotolewa na Simba SC iliyokuwa chini ya udhamini wa METL kwa usimamizi wa kijana mdogo aitwaye Mohamed Dewji akifuata nyanyo za Uncle wake azim dewji ambaye miaka 10 nyuma aliweza ifikisha simba FAINALI YA CAF

Zamalek ya mwaka huo ilikuwa moto na week kadhaa nyuma ilikuwa imetoka kuifunga real madrid 1-0 kwenye klabu bingwa ya dunia tena madrid ya kina Figo, Zidane, Beckham

Mo aliungana na na maelfu kuipokea Simba, akapanda kwenye Fuso, akavua shati akacheza na mashabiki wenzake.

LEO HII LINATOKEA JITU LINASEMA MBONA TAJIRI WANGU HAVUAGI SHATI KWANINI WEWE UVUE SHATI?

TUKIANZA KUONGEA NA MENGINE TUTAAMBIWA TUNDHALILISHA SIJUI MAMBO YA NGOZI.

MO DEWJI MAPOKEZI SIMBA 2003 HOTUBA TAIFA.jpeg
 
Nimerudia kusoma mara tatu tatu lakini sijaelewa, hivi kumbe Simba ilishafikaga fainali kwenye CAF champions league?
 
umeambiwa 10 years back before 2003 yaani 1993 , kulikuwa na mashindano yanaitwa CAF...kulikuwa na kombe la washindi(shirikisho)klabu bingwa na CAF(mashood abiola)
Sijaelewa! ..
 
Simba walicheza fainali ya kombe la caf (caf confederation) mwaka 1993. Faina hiyo walicheza na stade abijan ya ivory coast.Ugenini iliisha draw na ikaja kufungwa mbili nyumbani.
Sijaelewa! ..
 
Simba walicheza fainali ya kombe la caf (caf confederation) mwaka 1993. Faina hiyo walicheza na stade abijan ya ivory coast.Ugenini iliisha draw na ikaja kufungwa mbili nyumbani.
Hapo nimekupata mkuu .. [emoji1545][emoji1545]
 
Sijaelewa! ..
zamani bingwa wa Tanzania alikuwa anatikana kwa teams 3 za tanganyika kucheza na teams 3 za zanzibar ilikuwa inaitwa kombe la muungano, washindi watatu wa juu wanawakilisha nchi kimataifa....klabu bingwa,shirikisho na kombe lilokuwa linaitwa kombe la CAFlikidhaminiwa na tajiri wa Nigeria aitwaye Mashood abiola
 
zamani bingwa wa Tanzania alikuwa anatikana kwa teams 3 za tanganyika kucheza na teams 3 za zanzibar ilikuwa inaitwa kombe la muungano, washindi watatu wa juu wanawakilisha nchi kimataifa....klabu bingwa,shirikisho na kombe lilokuwa linaitwa kombe la CAFlikidhaminiwa na tajiri wa Nigeria aitwaye Mashood abiola
Shukrani nimeelewa Sasa ..
 
Back
Top Bottom