Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
Tujikumbushe matukio muhimu yaliyotokea hapo awali ktk nchu yetu na majirani zetu Pia.
Pamoja na mambo mengi yanayozungumzwa kuhusu msala huu wa Utekaji, utesaji, upoteaji na mauwaji ya Raia ambayo yameshika kasi ktk nyakati hizi ni wazi sasa tunaweza kuswma yafuatayo.
1. Mh Rais Amiri Jeshi Mkuu amethibitisha mpaka sasa hajawajua wanaohusika na matuko labda mpaka uchunguzi ufanyike na apewe ripoti kama alivyoagiza.
2. Mahakama haiwajui wahusika
3. Bunge haliwajui wahusika.
4. Jeshi la Polisi Tanzania bado haliwajuia wahusika.
5. Vyombo vingine vya ulinzi na usalama pia haviwajui wahusika.
6. Wananchi nao kwa wingi wao 60M hakuna anyewajua hao watekaji na wauwaji hivyo hofu imetanda kila mahali.
Kwa kusema hivyo ndio maana tunasema tunahitaji vyombo vyenye uwezo mkubwa na uzoefu na uaminifu usio na chembe ya shaka kutusaidia kuchunguza zahama hii inatotukabili kama Taifa.
Katika orodha ya Sheria zetu za Nchi hakuna mahali Sheria wala kanuni inazuia Kuomba vyombo au kushirikiana na vyombo vingine vya kimataifa kufanya uchunguzi kwenye uharifu ndani ya Nchi.
Kwani haitakuwa mara ya kwanza kufanya hivyo na pengine inaweza kuzidisha mahusiano na kujange uwezo kwenye vyombo vya ndani kiutalamu na uchunguzi.
Mwaka 1984 muda wa asubuhi Jengo la BOT pale ufukweni Dar es salaam llilishuhudiwa na maelfu ya watu likiteketea kwa moto, vyombo vya ulinzi na usalama viliorganize na kuhakikisha usalam na ulinzi mkali unawekwa ili kuhakikisha hakuna uharibifu unajitokeza wakati wa janga. Hata hivyo chanzo cha moto na madhara yake hayakufahamika mpaka Pale Serikali ililazimika kuomba msaada kwa Jeshi la Polisi la Uingereza, Scotland Yard.
Scotland Yard ni Kitengo Mahususi cha Jeshi la Polisi la Uingereza kilichobobea kwenye maswala ya kiuchunguzi ya uharifu wa kimataifa( internationa Organize crime Investigation section). Kinafahamika kama kikosi imara duniani kote kwenye maswala ya forensiki.
Pia wakati wa Utawala wa Daniel Arap Moi, Rais Wa pili wa kenya kilitokea kifo baada ya mauwaji ya Waziri wake wa Mambo ya Nje Dr Robert Ouko. Serikali ya Kenya ilikazimu kuwaita Team ya Scotland yard ikiongozwa na Kachero, Detective Super Intendent John Troon na wenzake wawili February 1990.
Kifo cha Dr Robert Ouko kilitokea miaka michache baada ya kupata misuko suko kutokana na hulka yake ya kukosoa utawala wa Kidikiteta wa Rais Moi ambapo kabla ya kifo chake alifunguliwa mashtaka mahakamani na akaamua Kujiuzulu baada ya kesi kuisha kati ya mwaka 1982 na 1985.
Report ya Uchunguzi ya Kifo cha Robert Ouko iliwekwa wazi na Wakenya wote wanapata fursa ya kuisoma na kuujua ukweli wa kile kilichojiri.
Soma Pia: Freeman Mbowe: Scotland Yard ya Uingereza ichunguze Matukio ya Utekaji na Uuaji nchini
Hivyo hatuna sababu ya kusua sua kufanya haraka kama kweli tuna nia ya dhati ya kukomesha matukio haya.
Pamoja na mambo mengi yanayozungumzwa kuhusu msala huu wa Utekaji, utesaji, upoteaji na mauwaji ya Raia ambayo yameshika kasi ktk nyakati hizi ni wazi sasa tunaweza kuswma yafuatayo.
1. Mh Rais Amiri Jeshi Mkuu amethibitisha mpaka sasa hajawajua wanaohusika na matuko labda mpaka uchunguzi ufanyike na apewe ripoti kama alivyoagiza.
2. Mahakama haiwajui wahusika
3. Bunge haliwajui wahusika.
4. Jeshi la Polisi Tanzania bado haliwajuia wahusika.
5. Vyombo vingine vya ulinzi na usalama pia haviwajui wahusika.
6. Wananchi nao kwa wingi wao 60M hakuna anyewajua hao watekaji na wauwaji hivyo hofu imetanda kila mahali.
Kwa kusema hivyo ndio maana tunasema tunahitaji vyombo vyenye uwezo mkubwa na uzoefu na uaminifu usio na chembe ya shaka kutusaidia kuchunguza zahama hii inatotukabili kama Taifa.
Katika orodha ya Sheria zetu za Nchi hakuna mahali Sheria wala kanuni inazuia Kuomba vyombo au kushirikiana na vyombo vingine vya kimataifa kufanya uchunguzi kwenye uharifu ndani ya Nchi.
Kwani haitakuwa mara ya kwanza kufanya hivyo na pengine inaweza kuzidisha mahusiano na kujange uwezo kwenye vyombo vya ndani kiutalamu na uchunguzi.
Mwaka 1984 muda wa asubuhi Jengo la BOT pale ufukweni Dar es salaam llilishuhudiwa na maelfu ya watu likiteketea kwa moto, vyombo vya ulinzi na usalama viliorganize na kuhakikisha usalam na ulinzi mkali unawekwa ili kuhakikisha hakuna uharibifu unajitokeza wakati wa janga. Hata hivyo chanzo cha moto na madhara yake hayakufahamika mpaka Pale Serikali ililazimika kuomba msaada kwa Jeshi la Polisi la Uingereza, Scotland Yard.
Scotland Yard ni Kitengo Mahususi cha Jeshi la Polisi la Uingereza kilichobobea kwenye maswala ya kiuchunguzi ya uharifu wa kimataifa( internationa Organize crime Investigation section). Kinafahamika kama kikosi imara duniani kote kwenye maswala ya forensiki.
Pia wakati wa Utawala wa Daniel Arap Moi, Rais Wa pili wa kenya kilitokea kifo baada ya mauwaji ya Waziri wake wa Mambo ya Nje Dr Robert Ouko. Serikali ya Kenya ilikazimu kuwaita Team ya Scotland yard ikiongozwa na Kachero, Detective Super Intendent John Troon na wenzake wawili February 1990.
Kifo cha Dr Robert Ouko kilitokea miaka michache baada ya kupata misuko suko kutokana na hulka yake ya kukosoa utawala wa Kidikiteta wa Rais Moi ambapo kabla ya kifo chake alifunguliwa mashtaka mahakamani na akaamua Kujiuzulu baada ya kesi kuisha kati ya mwaka 1982 na 1985.
Report ya Uchunguzi ya Kifo cha Robert Ouko iliwekwa wazi na Wakenya wote wanapata fursa ya kuisoma na kuujua ukweli wa kile kilichojiri.
Soma Pia: Freeman Mbowe: Scotland Yard ya Uingereza ichunguze Matukio ya Utekaji na Uuaji nchini
Hivyo hatuna sababu ya kusua sua kufanya haraka kama kweli tuna nia ya dhati ya kukomesha matukio haya.