TBT: SGR Kenya used to be called high speed rail during construction!

[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] baada ya kugundua Inaenda 110km/hr wame change gear angani.
 
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
 
Wao washaona matunda yake safari imekuwa ya muda mfupi sana toka Nairobi Mombasa. Vipi sisi tunaletewa nini labda

Hehehe mbona unawaharibia hako kautamu walikua wanapata, ungeacha watiririke kurasa kadhaa ndio uje kuwatupia hili swali.
Ni kama umfumanie mtu anajipiga nyeto halafu umharibie...
 
Jamaa wanajiliwaza na propaganda baada ya kusikia kwamba ndege nyingine ya KQ tayari ipo angani na abiria kutoka New York ikija Nairobi.
Jamaa wa bullet train za kubeba mizigo, hahaa! [emoji23] Mkiona mzigo wa aina hiyo Tz mnitag. Njooni Kenya bana, na huo ushamba wenu, treni za abiria ndio hizo hapo.
 
At
Nairobi hadi Mombasa kwa Treni ni masaa6, huo muda mfupi unamaanisha nin?
Au hata boda hujawahi Vuka halafu unajihusisha kwa mijadala kama hii
Ati masaa 6.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Kama bus inaenda na masaa 6 SGR kazi yake ni gani churaii. Fika Kenya wacha porojo na imagination hapa. SGR ni 4hrs to Mombasa.
 
Sijui hata mlifanya nini, Imagine hapo you'll need another 3Hrs to access the remotely located stations. Pathetic project
 
TBT in 2030 - Tanzania's dysfunctional SGR used to be called a bullet train during construction.
 
Ukweli ni masaa sita. Haina tofauti na basi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…