TBT: SGR Kenya used to be called high speed rail during construction!

Ila naomba sana huu ujinga usije tokea Tanzania
Itaniuma sana
 
Nairobi hadi Mombasa kwa Treni ni masaa6, huo muda mfupi unamaanisha nin?
Au hata boda hujawahi Vuka halafu unajihusisha kwa mijadala kama hii

Naomba nikuelimishe usitegemee sana habari za vijiweni huko kwenu...
Binafsi nimesafiri mara nyingi Dar to Morogoro nikitumia aidha gari binafsi au usafiri wa mabasi ya Aboud, na hunichukua masaa sita kwa huo umbali wa kilomita 200km
SGR ya Kenya, Nairobi to Mombasa umbali wa kilomita 500km huchukua masaa manne, huo ni umbali mara mbili zaidi ya Dar to Moro.
Huu usafiri wa SGR unawabeba wasafiri wengi kwa mpigo na mizigo yao, yaani kwa sasa hivi ni biashara kwa kwenda mbele, waulize Wapemba ambao wamechangamkia hii fursa wakati nyie mnalea machungu na wivu kwa jinsi mlivyo mivivu.
 
Labda ulitumia usafiri binafsi ukatumia masaa 6 au ulipanda basi bovu likaharibika njiani. Ila kwa mabasi mazima ni masaa matatu hayazidi, na kwa usafiri binafsi pia kwa mwendo wa 50/80 km/hr Dar - Moro. Acha kupotosha mkuu.
 
Tupe sababu ya wewe kuchukua masaa 6 kwa umbali wa km 200.
 
Simply put ni ati infrastructure yenu ni mbovu.
Hiyo ingekua sababu angeisema bila kusita. Jamaa anaongeaga uwongo ila siyo uwongo wa kijinga kama wako, wewe siku ukitoka Kenya Dunia ita anguka [emoji2]
 
Hiyo ingekua sababu angeisema bila kusita. Jamaa anaongeaga uwongo ila siyo uwongo wa kijinga kama wako, wewe siku ukitoka Kenya Dunia ita anguka [emoji2]
Yo should refute His claims with facts ila unapiga tu kelele. Mimi nimeenda nchi kadhaa mkuu na siringi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…