Uboboh
JF-Expert Member
- May 21, 2023
- 307
- 904
Hahah kwanza ni kitambo kipindi hiko nina kasimu kadogo kwenye batani na browser ya operamini (itel) huduma ya freebasic ilikuwepo Airtel hivyo JF niliipata bure kabisa. Niliisoma hii story for 3yrs (darasa la 5 mpaka darasa la 7 Nilisoma story nyingi humu za mapenzi pia Facebook nilisoma soma saaana) 2015 to 2017 Mapaka 2018 Nilipokutana na chuma hiki
Nilipenda username yake na nilijitafuta mpaka nikapata nickname yangu HEAVYBOY. Japo nilikuwa nautumia huu mtandao ila haswa kilichofanya nikaujua huu mtandao ni search kuhusu programming kipindi nipo na 13yrs baadae kuja kukutana na hili story ikafanya kuwa sehemu ambayo nimestick mpaka leo
Hii hapa story ya Heavy Weight
Thread 'Walivyonifanyia mabinti, kabla na baada ya balehe' Walivyonifanyia mabinti, kabla na baada ya balehe
Nilipenda username yake na nilijitafuta mpaka nikapata nickname yangu HEAVYBOY. Japo nilikuwa nautumia huu mtandao ila haswa kilichofanya nikaujua huu mtandao ni search kuhusu programming kipindi nipo na 13yrs baadae kuja kukutana na hili story ikafanya kuwa sehemu ambayo nimestick mpaka leo
Hii hapa story ya Heavy Weight
Thread 'Walivyonifanyia mabinti, kabla na baada ya balehe' Walivyonifanyia mabinti, kabla na baada ya balehe