Tbway360 acha dharau young killer ni msanii mkubwa tu

Tbway360 acha dharau young killer ni msanii mkubwa tu

gonamwitu

JF-Expert Member
Joined
Feb 16, 2018
Posts
2,187
Reaction score
2,794
Leo kwenye kipindi cha Friday night kinachorushwa na EATV km kawaida yao ya Kuwaita wasanii na kuwahoji baada ya ma underground kibao kuhojiwa ikafika ZAMU ya ney wa motego na Mimi mars na ney wa mitego wakahojiwa but young killer alikuwa nje muda ukawa unaelekea tamati halafu dogo haitwi so akamua kuingia tbway360 KWA dharauu akamuambia unaingia tu hugongi hata hodi hapa SIO chooni SIO maneno mazuri cuz yk ni msanii mkubwa hakustahili kubiwa hivo
 
Duh ilinipita hii..aisee ingekua mimi sikanyagi tena hiko kipindi siku ya tbway
 
Wasanii wenyew tu ndo huwa wanaleta dharau na mazoea mtu anaambiwa afike mapema yeye anakuja wakati shoo inaisha ata hivyo tbway huwa siangali akiwa anatangaza yeye anakuwaga kama amepiga tungi hivi
 
mtu anaambiwa njoo saa 2 anakuja saa 3 huyu mtu anaheshima??hata mimi tukipanga miadi ni saa flan ukichelewa imekula kwako,ye analeta usanii kwenye kazi za watu
 
Leo kwenye kipindi cha Friday night kinachorushwa na EATV km kawaida yao ya Kuwaita wasanii na kuwahoji baada ya ma underground kibao kuhojiwa ikafika ZAMU ya ney wa motego na Mimi mars na ney wa mitego wakahojiwa but young killer alikuwa nje muda ukawa unaelekea tamati halafu dogo haitwi so akamua kuingia tbway360 KWA dharauu akamuambia unaingia tu hugongi hata hodi hapa SIO chooni SIO maneno mazuri cuz yk ni msanii mkubwa hakustahili kubiwa hivo
Put some respek on them OGs.
 
mtu anaambiwa njoo saa 2 anakuja saa 3 huyu mtu anaheshima??hata mimi tukipanga miadi ni saa flan ukichelewa imekula kwako,ye analeta usanii kwenye kazi za watu
Kweli? But KWA foleni za dar kuchelewa ni kawaida lakini tbway hakutumia uungwana kumuambia maneno hayo Huyo dogo halafu ukampa mic ney amuhoji
 
tusipindishe maneno mtu anapokosea,killer amekosea tena sana,jamaa sio mgeni wa dar,anajua folen na changamoto za hili jiji,kwa nini asiwahi 30 min ahead?uliona wapi kipindi kinaendelea alafu mtu anaingia tu??hata nyumbani kwangu huwezi kuingia bila hodi!!
Kweli? But KWA foleni za dar kuchelewa ni kawaida lakini tbway hakutumia uungwana kumuambia maneno hayo Huyo dogo halafu ukampa mic ney amuhoji
 
Leo kwenye kipindi cha Friday night kinachorushwa na EATV km kawaida yao ya Kuwaita wasanii na kuwahoji baada ya ma underground kibao kuhojiwa ikafika ZAMU ya ney wa motego na Mimi mars na ney wa mitego wakahojiwa but young killer alikuwa nje muda ukawa unaelekea tamati halafu dogo haitwi so akamua kuingia tbway360 KWA dharauu akamuambia unaingia tu hugongi hata hodi hapa SIO chooni SIO maneno mazuri cuz yk ni msanii mkubwa hakustahili kubiwa hivo
Amemwambia ukweli, ofisi za watu lazima ziheshimiwe.
 
Back
Top Bottom