Eric Cartman
JF-Expert Member
- May 21, 2009
- 11,966
- 11,218
Ni kwa sababu awakutaka kumpa kiki alizokuwa anatafuta kipindi cha campaign. I am sure baada ya uchaguzi akivunja sheria akiitwa asipoenda wataenda mbeba juu kwa juu popote halipo ndani ya Tanzania...Kuna kipindi Watanzania walikuwa wanaamini IGP akikuita kituoni lazima uende, sasa Tundu Lissu ametufundisha kwamba unaweza usiende.
Ni kwa sababu awakutaka kumpa kiki alizokuwa anatafuta kipindi cha campaign. I am sure baada ya uchaguzi akivunja sheria akiitwa asipoenda wataenda mbeba juu kwa juu popote halipo ndani ya Tanzania.
You a genius mkuu..this is rubbish.
..Lissu alikuwa na ratiba ya kurudi Dsm.
..helikopta ingekuwa na ratiba ya kwenda Nairobi, Lissu asingekwenda nayo Kia.
Tumia akili kuchangia hoja kama hizi ndugu.Haha aise Mungu angekua mgombea sijui ingekuaje!!!
Ili ni anga letu wazawa ila kuliruka mpaka uombe vibali
Superman kodi yake ingekua sh ngapi?
At least nimeona mchango umetaja technicalities, FLIGHT PLAN! Unajua flight plan inatakiwa iwasilishwe lisaa limoja kabla ya Safar kwa uchache. Na kama kuna marekebisho hapo hapo ulipo i submit unaoneshwa unapewa na copy yako iliyosainiwa period. It's not a big deal.ASANTE SANA KWA HILI, NILIKUWA NAAMINI KIBALI ANACHO ILA ALITAKA KUTENGENEZA CHUKI TUU. SIO RAHISI AU HAIWEZEKANI KURUSHA NDEGE BILA APPROVAL YA FLIGHT PLAN, NA NILIUZA MASWALI MENGI SANA .
Na hata nikamalizia kuwa baada ya helicopter kufika Kawe bila ruhusa hio ndege ataenda kuipaki nyumbani kwake? Watu wa Insurance watamwacha? na ataendeshaji bila kuwa na contact na control tower ya karibu na anako kwenda?
Na mwenye ndege anaruhusu kwani amepandwa na ujinga gani au aliokota pesa ya kununua hiyo helicopter? Na kuna uwezekano jeshi letu la anga likaichukulia ni ndege ya adui kwa kuwa haina utambulisho angani wa mamlaka husika.
Kesi uchwara nazo zile aliitwa akasema waache upuuzi natafuta wadhamini?!! Na baada ya wadhamini akasema waache ujinga nimechoka baada ya kuzungukia wadhamini?!Ni kwa sababu awakutaka kumpa kiki alizokuwa anatafuta kipindi cha campaign. I am sure baada ya uchaguzi akivunja sheria akiitwa asipoenda wataenda mbeba juu kwa juu popote halipo ndani ya Tanzania.
Laying maana yake nini 🤭🤭🤭🤭🤭🤭🤭Lissu siku zote ni mwongo. Hafai hata kuitwa baba kwa uongo wake. Watanzania tumfundishe heshima kwa kutompigia kabisa kura, abaki na waongo wenzake wa Ufipa. Mtu mzima laying mwongo wa ajabu.
Alishaondoka kuwahi mkutano na alitua salama...zilizobaki zote ni hadithiWasalaam wana jamvi!
Baada ya mgombea wa CHADEMA kuwatuhumu mamlaka ya anga kumchelewesha kwenda Dar kwa kutumia helkopta ...leo mamlaka ya anga wamemjibu na kushangazwa na upotoshaji wao!
Mamalaka ya anga wameweka wazi kuwa helkopta ya Lissu haikuwa na Ratiba ya kwenda dar ikitokea Kilimanjaro bali ilikuwa na Ratiba ya kutoka Killimanjaro kurudi Nairobi
Mamlaka wanasema State Aviation walipeleka maombi ya mabadiliko ya ratiba hiyo saa tatu asubuhi wakisema watakwenda Dar -Tanganyika Packers.
Mamlaka ya anga wanasema hata hivyo maombi ya kibali hicho yalikuwa na mapungufu kwani kwamujibu wa sheria za anga unapoomba kibali unatakiwa kuonesha unakwenda wapi na baada ya hapo utakwenda wapi..hivyo wamiliki wa helkopta waliambiwa wakaeekebishe maombi na kuondoa mapungufu ili wapewe kibali!
Hata hivyo chadema na wamiliki walirekebisha maombi yao na kupewa ruhusa ya kwenda Dar Tanganyika Packers!
Hivyo si kweli walinyimwa kibali bali walijichelewesha wenyewe wakati wanaujua utaratibu!
View attachment 1613954
Wasalaam wana jamvi!
Baada ya mgombea wa CHADEMA kuwatuhumu mamlaka ya anga kumchelewesha kwenda Dar kwa kutumia helkopta ...leo mamlaka ya anga wamemjibu na kushangazwa na upotoshaji wao!
Mamalaka ya anga wameweka wazi kuwa helkopta ya Lissu haikuwa na Ratiba ya kwenda dar ikitokea Kilimanjaro bali ilikuwa na Ratiba ya kutoka Killimanjaro kurudi Nairobi
Mamlaka wanasema State Aviation walipeleka maombi ya mabadiliko ya ratiba hiyo saa tatu asubuhi wakisema watakwenda Dar -Tanganyika Packers.
Mamlaka ya anga wanasema hata hivyo maombi ya kibali hicho yalikuwa na mapungufu kwani kwamujibu wa sheria za anga unapoomba kibali unatakiwa kuonesha unakwenda wapi na baada ya hapo utakwenda wapi..hivyo wamiliki wa helkopta waliambiwa wakaeekebishe maombi na kuondoa mapungufu ili wapewe kibali!
Hata hivyo chadema na wamiliki walirekebisha maombi yao na kupewa ruhusa ya kwenda Dar Tanganyika Packers!
Hivyo si kweli walinyimwa kibali bali walijichelewesha wenyewe wakati wanaujua utaratibu!
View attachment 1613954
Wanatafuta msamaha wa Raisi Lissu, Hamza ajiandae
Haha aise Mungu angekua mgombea sijui ingekuaje!!!
Ili ni anga letu wazawa ila kuliruka mpaka uombe vibali
Superman kodi yake ingekua sh ngapi?
hivi nani aliwaleta nyie wapuuzi hapa JF?kwa ruhusa ipi wakati ndege zote tulizulumiwa na Kunya,unaongea nini we mamaKwani yule rubani Mtanzania aliyeiba ndege ya Jumuiya ya Afrika Mashariki mwaka 1977 Jumuiya ilipovunjika aliirusha ndege kwa ruhusa ipi?
Mmmmh jamaa anaweka mizaha na uzushi hadi katika maswala ya taaluma za wengine..... urais sio kuvuta sigara...Wasalaam wana jamvi!
Baada ya mgombea wa CHADEMA kuwatuhumu mamlaka ya anga kumchelewesha kwenda Dar kwa kutumia helkopta ...leo mamlaka ya anga wamemjibu na kushangazwa na upotoshaji wao!
Mamalaka ya anga wameweka wazi kuwa helkopta ya Lissu haikuwa na Ratiba ya kwenda dar ikitokea Kilimanjaro bali ilikuwa na Ratiba ya kutoka Killimanjaro kurudi Nairobi
Mamlaka wanasema State Aviation walipeleka maombi ya mabadiliko ya ratiba hiyo saa tatu asubuhi wakisema watakwenda Dar -Tanganyika Packers.
Mamlaka ya anga wanasema hata hivyo maombi ya kibali hicho yalikuwa na mapungufu kwani kwamujibu wa sheria za anga unapoomba kibali unatakiwa kuonesha unakwenda wapi na baada ya hapo utakwenda wapi..hivyo wamiliki wa helkopta waliambiwa wakaeekebishe maombi na kuondoa mapungufu ili wapewe kibali!
Hata hivyo chadema na wamiliki walirekebisha maombi yao na kupewa ruhusa ya kwenda Dar Tanganyika Packers!
Hivyo si kweli walinyimwa kibali bali walijichelewesha wenyewe wakati wanaujua utaratibu!
View attachment 1613954
Huyu mtu ana maamuzi magumu Sana ana spirit ya aina yake iliyo na imani ya jamboWambieni hao TCAA ni wapuuzi tu kama walivyo Lumumba walojaza matope ,ujinga, upumbavu ..
T.lissu na team yake sio wajinga, et kurekebisha Kibali iwachukue masaa manne .
Ukweli nikua MWAMBA TUNDU ANTIPHAS LISSU ALIAMUA MWENYEWR KWA MAKUSUDI KABISA, KUMUAMURU RUBANI WA CHOPA YAKE, KUONDOA MZIGO KAMA AMBAVYO ALIAMUA KUTUMIA MTUMBWI KUVUKA ZIWA.
HUYO NDIO LISSU.
SASA MAFALA WA TCAA WANALETA UPUMBAVU UPUMBAVU.. WAENDE WADANGANYE MAJINGA YA LUMUMBA..
Huyu mtu ana maamuzi magumu Sana ana spirit ya aina yake iliyo na imani ya jambo