Sisi bado hatujaongeza..... lakini hiyo article hapo juu imeonyesha baadhi ya Nchi duniani kutokana na upungufu wa pilots katika Nchi zao wameongeza umri huo hadi miaka 67 na Nchi nyingine ziko mbioni kuongeza umri huo.
Akili ya nyumbu. Unavuhakika wanazunguka watakavyo au huomba kila wanapotaka kuruka?Kwa hiyo harmonize na diamond wanavibali vya kuzunguka na chopa watakavyo
Alifariki katika mwaka wake wa mwisho katika kazi hiyoMarehemu Pilot Silaa alizaliwa 1950 akafarki 2015. 2015-1950 = 65. Bado alikuwa ni Pilot.
mjanja ni yule asiyekuwa mwoga!Ndo hivyo hamkurusha ndege, nani mjanja hapa? Kojoa ukalale
Hawalioni hilo wao wanaona wameonewa! Angeruhusiwa na lingetokea la kutokea pia wangesema ameuliwa! Chadema hawana jemaMwaka 2015 Deo Filikunjombe alianguka na helicopter na kufariki na rubani wake mzee Slaa alikuwa anarusha helicopter hiyo akiwa na miaka 68 na hakua na kibali cha kuruka kwa umri huo. Hapa mamlaka inafaa kupongezwa kwa kulinda usalama wa mgombea wa CHADEMA. Tafuteni ndege ingine badala ya kusingizia Serikali.
Wewe una akili ya kamasi. Kama rubani alikuwa ni yule wa kila siku wangeenda kuomba kibali cha rubani kurusha ndege? Si alishapewa kibali?Ni vizuri watuambie pia siku zote ni nani aliyekuwa anaendesha hiyo helikopter???? Kama ni rubani huyohuyo imekuwaje wamzuie sasa???
Lakini mwongozo unasemaRubbish, hakuna sheria inayosema uhakiki ufanyike mikoani. Shria ya uchaguzi haisemi hivyo
Wewe unajibu kama TCAA au kilaza tu wa Lumumba???Wewe una akili ya kamasi. Kama rubani alikuwa ni yule wa kila siku wangeenda kuomba kibali cha rubani kurusha ndege? Si alishapewa kibali?
Ni dhahiri huyu si yule wa kila siku ndo maana walilazimika kwenda kuomba kibali.
Hizi akili za chadema sijawahi kuzielewa. Unauliza kwa jirani yako kinyeo chako kiko wapi!!!
Mhuuu uchuro huoMwaka 2015 Deo Filikunjombe alianguka na helicopter na kufariki na rubani wake mzee Slaa alikuwa anarusha helicopter hiyo akiwa na miaka 68 na hakua na kibali cha kuruka kwa umri huo. Hapa mamlaka inafaa kupongezwa kwa kulinda usalama wa mgombea wa CHADEMA. Tafuteni ndege ingine badala ya kusingizia Serikali.