Uchaguzi 2020 TCAA yawajibu CHADEMA, yasikitishwa na upotoshaji wao

.... lakini hiyo article hapo juu imeonyesha baadhi ya Nchi duniani kutokana na upungufu wa pilots katika Nchi zao wameongeza umri huo hadi miaka 67 na Nchi nyingine ziko mbioni kuongeza umri huo.
Sisi bado hatujaongeza.
 
Hawalioni hilo wao wanaona wameonewa! Angeruhusiwa na lingetokea la kutokea pia wangesema ameuliwa! Chadema hawana jema
 
Ni vizuri watuambie pia siku zote ni nani aliyekuwa anaendesha hiyo helikopter???? Kama ni rubani huyohuyo imekuwaje wamzuie sasa???
Wewe una akili ya kamasi. Kama rubani alikuwa ni yule wa kila siku wangeenda kuomba kibali cha rubani kurusha ndege? Si alishapewa kibali?
Ni dhahiri huyu si yule wa kila siku ndo maana walilazimika kwenda kuomba kibali.

Hizi akili za chadema sijawahi kuzielewa. Unauliza kwa jirani yako kinyeo chako kiko wapi!!!
 
hao state aviation wenyewe wahuni.....kuna propaganda nnyuma ya pazia.......
 
Wewe unajibu kama TCAA au kilaza tu wa Lumumba???
 
Mhuuu uchuro huo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…