TISS na TCRA si ndio haohao, nafikiri kuna sababu pia ya kuususia mtandao wa vodacom, uchafu wanaoufanya unahatarisha amani na demokrasia nchini
Mungu akusamehe hujui unalosema wewe. Anyway kila mtu na mawazo yake.Wakuu,
Kuhusu hii SMS ya Finland ambayo inasema, "Slaa ni mropokaji na mgomvi anatukana vyombo vya ulinzi na usalama. Anataka damu imwagike ili mradi aingie Ikulu. Tumkatalie kuigeuza nchi yetu Somalia."
Nimeangalia michango ya wadau mbali mbali ila nikabaki na swali moja. Je kuna uwezekano kuwa Slaa anatuchezea?
Kwamba hii meseji inawezekana pia ikawa imetumwa na timu ya Slaa ili kujijengea mazingira ya u-victim (kuonewa) ili apate cha kuongea na kuamsha hisia za watu dhidi ya CCM kwa staili ya kinyume nyume (reverse psychology).
Au kuna ushahidi gani unaoonesha kuwa hii meseji imetengenezwa na watu wa CCM?
Sidhani kama hili linamhusu shimbo. Jf sasa inageuzwa kuwa eneo la kufanya siasa za majitaka
Wakuu Tusikurupuke kushutumu, hivi ukipata msg ya kukutukana,kukukashifiwa au kutishiwa kuuawa utaenda kushtaki TCRA au Polisi? obvious the chain of command katika masuala hayo itaanzia polisi.
Ah! tsy! Acheni kulialia bana! Hii ni vita tumia silaha yoyote unayohisi itamzoofisha adui, kumbe hamkuijua ngoma mnayo icheza enh? Muulizeni Lipumba 2005. Yaani Dk Slaa hajapigwa hata kirungu kimoja tayari mnachanganyikiwa na kupoteza dira, kuleta mabadiliko sio mchezo,ACHENI KULIA LIAtafuteni silaha ya kujibu mapigo na kumrudisha nyuma Adui. Ushindi ni ushindi tu haijalishi umepatikana vipi.
The TCRA Acting Director General, Dr Raynold Mfungahema, said this on Saturday while responding to the allegations and complaints by Chadema leaders who claimed that the message which came from Phone Number +3588976578 was spread to mobile phone users with the help of TCRA.
"We are still in the process of ratifying mobile numbers in the ongoing registration exercise, so we are not in a position to answer such claims. The appropriate entity here is the Police Force and mobile phone companies," he noted.
Dr Mfungahema noted further that until all the SIM Cards are registered, the task of censorship to communications through cell phones remains a difficult one.