TCRA fuatilieni matapeli wa mtandao wanaojiita" Digital Master"

TCRA fuatilieni matapeli wa mtandao wanaojiita" Digital Master"

Mateso chakubanga

JF-Expert Member
Joined
May 10, 2021
Posts
587
Reaction score
800
Kumeibuka kikundi cha watu wanaojiita Digital Master kikiongozwa na mtu anaejiita Saidi Mbondela jijini Daresalaam ambao kazi yao ni kutangaza wana uwezo wa kutengeneza programme katika simu kwaajili ya kufuatilia message, na simu za watu,aidha mtu huyo mwenye namba 0757039596 anakuhitaji umtumie namba za watu halafu unafanya malipo ya kiasi cha shilingi 52900/= kwa njia ya benki au M pesa au dola za Marekani 23 kwa visacard,vilevile ukifanya malipo atakudanganya anaweka programme ili akutumie link baada ya hapo anakuzuia kabisa kufanya mawasiliano nae kwa kukublock ,aidha ninaliomba jeshi la polisi na mamlaka ya mawasiliano nchini kukabiliana na hilo kundi la kitapeli.
 
Kumeibuka kikundi cha watu wanaojiita Digital Master kikiongozwa na mtu anaejiita Saidi Mbondela jijini Daresalaam ambao kazi yao ni kutangaza wana uwezo wa kutengeneza programme katika simu kwaajili ya kufuatilia message, na simu za watu,aidha mtu huyo mwenye namba 0757039596 anakuhitaji umtumie namba za watu halafu unafanya malipo ya kiasi cha shilingi 52900/= kwa njia ya benki au M pesa au dola za Marekani 23 kwa visacard,vilevile ukifanya malipo atakudanganya anaweka programme ili akutumie link baada ya hapo anakuzuia kabisa kufanya mawasiliano nae kwa kukublock ,aidha ninaliomba jeshi la polisi na mamlaka ya mawasiliano nchini kukabiliana na hilo kundi la kitapeli.
Hivi ndugu yetu wewe hadi sasa bado unakubali mtu akudanganye kama mtoto mdogo tu?

Hata hivyo yanini kutafuta hizo msg ?
 
Kumeibuka kikundi cha watu wanaojiita Digital Master kikiongozwa na mtu anaejiita Saidi Mbondela jijini Daresalaam ambao kazi yao ni kutangaza wana uwezo wa kutengeneza programme katika simu kwaajili ya kufuatilia message, na simu za watu,aidha mtu huyo mwenye namba 0757039596 anakuhitaji umtumie namba za watu halafu unafanya malipo ya kiasi cha shilingi 52900/= kwa njia ya benki au M pesa au dola za Marekani 23 kwa visacard,vilevile ukifanya malipo atakudanganya anaweka programme ili akutumie link baada ya hapo anakuzuia kabisa kufanya mawasiliano nae kwa kukublock ,aidha ninaliomba jeshi la polisi na mamlaka ya mawasiliano nchini kukabiliana na hilo kundi la kitapeli.
Hivi ndugu yetu wewe hadi sasa bado unakubali mtu akudanganye kama mtoto mdogo tu?

Hata hivyo yanini kutafuta hizo msg ?
 
Mimi nakerwa na social media zinazoandika vichwa tofauti na habari yenyewe.
 
Mkuu unataka kumkamata mkeo michepuko yake umejianda kiakili kumuacha?? Kama bado unampenda na hujajiandaa kumuacha nakusihi acha mara moja tabia ya kutaka kudukua mawasiloano yake maana utaambulia magonjwa ya moyo, strok na vidonda vya tumbo bure mwisho wa siku ufe mapema bora usijue harafu kumdukua mtu ni kosa kisheria za Tanzania hata kama ni mkeo au mpenz
 
Back
Top Bottom