TCRA fungeni haraka Laini yangu ili Branch na M-Power wasinisumbue

TCRA fungeni haraka Laini yangu ili Branch na M-Power wasinisumbue

Babu Kijiwe

JF-Expert Member
Joined
Mar 31, 2010
Posts
4,830
Reaction score
4,729
Hawa wadai wangu wanapenda kunikumbusha kwa SMS hasa hawa Branch. Leo natangaza mwisho wao kwani line yangu inafungwa muda si mrefu sijui watamtumia nani SMS.

Ikibidi TCRA yakwangu fungeni sasahivi, za wengine subirini sa 6 usiku. Ahsante NIDA kwa kutusaidia.

Poleni M-Power poleni Branch, Poleni TALA na wengine.
 
............Na hafungi sasa sijui utatokea wapi!!!

Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk
 
Hahahaaa...!!! mkuu huoni kama ukifungiwa line hao wadeni ndo watakufungia kazi deile wanakuibukia home directly kuliko sahivi wanakutext kama huna una kausha tu na kudelete kijisms chao basi haina kujaziana inzi na kuoneana aibu!
 
Hawa wadai wangu wanapenda kunikumbusha kwa SMS hasa hawa Branch. Leo natangaza mwisho wao kwani line yangu inafungwa muda si mrefu sijui watamtumia nani SMS.

Ikibidi TCRA yakwangu fungeni sasahivi, za wengine subirini sa 6 usiku. Ahsante NIDA kwa kutusaidia.

Poleni M-Power poleni Branch, Poleni TALA na wengine.
Zile line zinazodaiwa hazitafungwa, hii ni official statement.
 
...😂😂😂 laini kufungwa hujuti kama ilivyo ID yako 😂😂😂
 
Back
Top Bottom