TCRA haina malaika ya kuzuia Darasa la Uongozi.S

Poppy Hatonn

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2021
Posts
3,095
Reaction score
4,632
Siyo kila mtu anayesema ana mamlaka ya kufanya jambo anayo mamlaka hayo.
Kile kipindi cha phone-in. Watu walikuwa wanapiga kutoa maoni yao kuhusu kile kipindi. TCRA iliwasikiliza watu wale? Wale watu walikuwa na shukrani sana kwa Polepole.
Polepole alikuwa anaongea maneno kama vile ," Mwajibishe kiongozi wa serikali ya mtaa". Hayo ndiyo mambo waliyokuwa wanakwenda kusikiliza kwenye kile
kipindi.
Mtu anayeongea namna hiyo,TCRA haina malmlaka ya kumzuia.
Ndiyo legacy ya Magufuli. Magufuli alipochaguliwa kuiongoza nchi,dikteta alikuwa mmoja tu Tanzania. Alipokufa,sasa kuna utitiri wa madikteta.
Yule mtu aliyekuwa anamkoromea Polepole,he did not seem to me to be a very clever guy. He was stammering.
 
Wangapi walizuiwa

Wangapi tisireii iliwapiga pini

Oops nmesahau kumbe polepole ndiyo mtu wa kwanza kupigwa pini na tisiaraei

Ova
 
Kinyago mlichokichonga wenyewe sasa kinawatisha 🤣🤣🤣
 
kajifunze kuandika kwanza malaika kvp
 
Polepole ana haki ya kukata rufaa ndani ya siku 21. Apeleke hoja zake referral akasikilizwe.
Hana mtu wa kumsikiliza pale maana muda wa hao sukuma gang umekwisha
 
kweli kabisa wakifungulie maana Mahafali yetu ilikua yafanyike march 2022 sijui itakuaje wanafunzi tumeshikwa na butwaa
 
Kama Haina mamlaka mwambie Polepole aendelee, acha kubwaka hapa. Yatima wa Mwendazake wewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…