TCRA imewashindwa matapeli wa mitandao imewageukia raia wema!

TCRA imewashindwa matapeli wa mitandao imewageukia raia wema!

Hismastersvoice

JF-Expert Member
Joined
Jan 26, 2013
Posts
21,741
Reaction score
26,735
Tarehe 06/11/2019 nilisajiri laini yangu ya AIRTEL na kupewa namba ya usajiri, tarehe 19/07/2021 laini yangu ya AIRTEL ikafungwa kwa madai ya kutosajiriwa! Nikalazimika kwenda kwenye ofisi za AIRTEL na nilichoambiwa huko ni maluweluwe eti siku mbili zilizopita nilisajiri laini kwa alama za vidole!

Baada ya malumbano wakaifungua na kunipa namba mpya ya usajiri, jambo moja nililogundua ni sikuwa peke yangu niliyefungiwa bali walikuwepo wengine pia. Baada ya sakata langu mke wangu naye sasa amefungiwa laini yake ya AIRTEL naye imemlazimu aende kwenye ofisi ya AIRTEL na wamemahidi kuifungua baada ya saa 24!

TCRA ijue kuwa inapomfungia raia mwema bila sababu ni kwamba raia huyo anakosa mawasiliano muhimu na walengwa wake na pia anapoteza muda wa maongezi aliopewa na hafidiwi, hii ni dhuluma.
 
Tarehe 06/11/2019 nilisajiri laini yangu ya AIRTEL na kupewa namba ya usajiri, tarehe 19/07/2021 laini yangu ya AIRTEL ikafungwa kwa madai ya kutosajiriwa! Nikalazimika kwenda kwenye ofisi za AIRTEL na nilichoambiwa huko ni maluweluwe eti siku mbili zilizopita nilisajiri laini kwa alama za vidole! Baada ya malumbano wakaifungua na kunipa namba mpya ya usajiri, jambo moja nililogundua ni sikuwa peke yangu niliyefungiwa bali walikuwepo wengine pia. Baada ya sakata langu mke wangu naye sasa amefungiwa laini yake ya AIRTEL naye imemlazimu aende kwenye ofisi ya AIRTEL na wamemahidi kuifungua baada ya saa 24!
TCRA ijue kuwa inapomfungia raia mwema bila sababu ni kwamba raia huyo anakosa mawasiliano muhimu na walengwa wake na pia anapoteza muda wa maongezi aliopewa na hafidiwi, hii ni dhuluma.
Polisi na Usalama huu huu? keep waiting?
 
Tarehe 06/11/2019 nilisajiri laini yangu ya AIRTEL na kupewa namba ya usajiri, tarehe 19/07/2021 laini yangu ya AIRTEL ikafungwa kwa madai ya kutosajiriwa! Nikalazimika kwenda kwenye ofisi za AIRTEL na nilichoambiwa huko ni maluweluwe eti siku mbili zilizopita nilisajiri laini kwa alama za vidole! Baada ya malumbano wakaifungua na kunipa namba mpya ya usajiri, jambo moja nililogundua ni sikuwa peke yangu niliyefungiwa bali walikuwepo wengine pia. Baada ya sakata langu mke wangu naye sasa amefungiwa laini yake ya AIRTEL naye imemlazimu aende kwenye ofisi ya AIRTEL na wamemahidi kuifungua baada ya saa 24!
TCRA ijue kuwa inapomfungia raia mwema bila sababu ni kwamba raia huyo anakosa mawasiliano muhimu na walengwa wake na pia anapoteza muda wa maongezi aliopewa na hafidiwi, hii ni dhuluma.
Airtel ndio wako hivyo.

Yaani laini usipotumia kwa muda kidogo wanaifunga. Na kuigawa hawachelewi.
 
Airtel ndio wako hivyo.

Yaani laini usipotumia kwa muda kidogo wanaifunga. Na kuigawa hawachelewi.
Laini husika hutumika kila siku, nina miaka sasa sijawahi kuweka salio la muda wa maongezi Tigo wa Voda, waliofunga laini si Airtel ni TCRA kwa mujibu wa AIRTEL na ndio wao walofunga laini ya mke wangu.
 
Laini husika hutumika kila siku, nina miaka sasa sijawahi kuweka salio la muda wa maongezi Tigo wa Voda, waliofunga laini si Airtel ni TCRA kwa mujibu wa AIRTEL na ndio wao walofunga laini ya mke wangu.
Mbona Vodacom hawanaga hizo.

Tatizo ni Airtel sema wanaona wasingizie TCRA
Wanaona kama line haitumiki hawamake faida.
 
Mbona Vodacom hawanaga hizo.

Tatizo ni Airtel sema wanaona wasingizie TCRA
Wanaona kama line haitumiki hawamake faida.
Taarifa ya kufungiwa ilitoka TCRA na nimesema ndiyo laini pekee ninayoitumia kila siku, kabla ya kuandika soma vizuri na uelewe, wote tuliofungiwa taarifa zilitoka TCRA, kwa kifupi sijawahi kuona faida ya TCRA kwa usimamizi wao wote kwenye mawasiliano si ya redio, TV, simu, Post Code na mengineo.
 
Taarifa ya kufungiwa ilitoka TCRA na nimesema ndiyo laini pekee ninayoitumia kila siku, kabla ya kuandika soma vizuri na uelewe, wote tuliofungiwa taarifa zilitoka TCRA, kwa kifupi sijawahi kuona faida ya TCRA kwa usimamizi wao wote kwenye mawasiliano si ya redio, TV, simu, Post Code na mengineo.
Duh, Basi sikuelewa.
 
Ninapenda kuhitimisha kwa kusema TCRA haina faida kwa wananchi kwani wenye makampuni ya ving'amuzi hujipandishia bei watakavyo, makampuni ya mitandao ya simu yanauza laini zao kama bigiJii, stesheni za redio zinaingiliana na usikivu hafifu, ile hela tuma namba hii ipo tu kama kawaida na mengine mengi tu ya hovyohovyo na imeshindwa kuanzisha Postal Code miaka nenda miaka rudi!
 
Back
Top Bottom