TCRA imulikeni Airtel

TCRA imulikeni Airtel

Ikwefi

Member
Joined
Oct 2, 2013
Posts
39
Reaction score
22
Huu mtandao wa Airtel ni muda wa zaidi ya wiki sasa mawasiliano yake yamekuwa mabovu sana.

Unapiga huwezi kusikilizana kabisa kwani simu aidha ikatike au ikorome kama redio iliyokosa mawimbi .

Tunaomba mamlaka husika zichukue hatua kwani ni sawa na kuibiwa pesa zetu za vocha huku tukikosa mawasiliano bora.
 
Huu mtandao wa Airtel ni muda wa zaidi ya wiki sasa mawasiliano yake yamekuwa mabovu sana.
Unapiga huwezi kusikilizana kabisa kwani simu aidha ikatike au ikorome kama redio iliyokosa mawimbi .
Tunaomba mamlaka husika zichukue hatua kwani ni sawa na kuibiwa pesa zetu za vocha huku tukikosa mawasiliano bora.
Nilidhani ni simu yangu,kumbe ni mtandao,inakera sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hata mimi nimepata hii shida. No clarity at all

Au mnasemaje mods
 
Nachokiona kwa airtel sasa, wanafanya overtrading , lengo lao ni kufanya sales nyingi bila kuzingatia capability ya network yao ...na hii itakuja kuwagharimu badae endapo tu hawataboresha network stability

Yaani wanaelemewa sana na wingi wa wateja kwa kutoa offer nono za vifurushi, dakika kibao, mb kibao...halafu mtandao weak na huduma kwa wateja pia wapo poor

Wengi wetu sasa hasa tulio dsm tupo airtel baada ya tigo kusua sua katika offer zake,

ila shida kwa airtel inakuja kwenye network jamming, na kama una smart yenye uwezo mdogo, hapo itabidi usubiri usiku wa manane watu wakiwa wachache hewani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hata huduma ya airtel money ipo dhaifu sana, inahitaji marekebisho. Ni mara nyingi unakuta unatoa pesa messeji zinachelewa, ukilipa malipo mbali mbali unakuwa kama umecheza kamari...

Alie stable katika network na pia mbunifu katika huduma zake kwa upande wangu ni tigo ila offer zake nowdays ni ghali......

Nasikia voda pia yuko poa cause sijawahi kutumia voda, ila nae ana vifurushi ghali

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hv lile tatizo la Airtel money upande wa kureset password walishaboresha? Mara ya mwisho kuitumia ilikuwa 2011 baada ya kugundua kuwa unaweza ukabadili password hata kama sio mmiliki na ukasepa na salio lote.
 
Nilidhani hili tatizo lipo kwangu tu maana kila nikupigia mtu naambiwa sikusikii vizuri, mara simu ikate mara iandike emergency internet ndio balaa tupu wakati naishi mjini.
 
Hv lile tatizo la Airtel money upande wa kureset password walishaboresha? Mara ya mwisho kuitumia ilikuwa 2011 baada ya kugundua kuwa unaweza ukabadili password hata kama sio mmiliki na ukasepa na salio lote.
MMMM KIVIPI
 
Back
Top Bottom