Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
Walianza na kusajili line kwa alama za vidole, wamiliki wa mitandao wakaishiwa nguvu wakijua kuwa sasa mavuno yatapungua kwakuwa watumiaji (walaji) watapungua.
Ashukuriwe Mungu watu wakawasajilia watu wao wa karibu maisha yakaanza kutengamaa.
Sasa TCRA inapofosi mtu awe na line moja tu kwa kila mtandao nadhani bado hawajajua kuwa sisi tuliwasajilia watu kwasababu kuu 2.
1. Kuna watu, vijana wadogo hawajafikia umri wa kupata kitambulisho cha uraia lakini wamepevuka na wanastahili kumiliki simu.
2.Kuna watu wetu wa karibu juhudi za kupata NIDA I'd ziligonga mwamba au hazijakamilika nao tuliwasajilia.
Kila mtu aliyempa line mwenzake basi amejiridhisha vya kutosha kuwa huyo mtu ni salama kwake na kwa taifa.
Kwa mwendo huu makampuni ya simu yatapoteza 15%_25% ya mapato yake soon endapo tu watalazimisha hili jambo la kumiliki single line kwa kila mtandao
Ashukuriwe Mungu watu wakawasajilia watu wao wa karibu maisha yakaanza kutengamaa.
Sasa TCRA inapofosi mtu awe na line moja tu kwa kila mtandao nadhani bado hawajajua kuwa sisi tuliwasajilia watu kwasababu kuu 2.
1. Kuna watu, vijana wadogo hawajafikia umri wa kupata kitambulisho cha uraia lakini wamepevuka na wanastahili kumiliki simu.
2.Kuna watu wetu wa karibu juhudi za kupata NIDA I'd ziligonga mwamba au hazijakamilika nao tuliwasajilia.
Kila mtu aliyempa line mwenzake basi amejiridhisha vya kutosha kuwa huyo mtu ni salama kwake na kwa taifa.
Kwa mwendo huu makampuni ya simu yatapoteza 15%_25% ya mapato yake soon endapo tu watalazimisha hili jambo la kumiliki single line kwa kila mtandao