TCRA, matapeli wa kupiga simu na kutuma meseji wataisha lini?

TCRA, matapeli wa kupiga simu na kutuma meseji wataisha lini?

ommytk

JF-Expert Member
Joined
Jul 30, 2015
Posts
520
Reaction score
1,143
TCRA hivi awa matapeli kutumia simu mbona bado wapo wengí na sasa wanazidi kuongezeka si line tunasajiri na alama za vidole iweje waendelee kuwepo.

Leo naona tuanze kuolozesha humu namba za matapeli wanautuma msg zile za waganga na mtoto wako kaumia tupo hospital na wale wanajifanya huduma kwa mteja ebu tuweke namba tusaidiane ata mtu usave kwenye simu ikiita Unajua mwizi au ata TCRA wanaweza kuzifanyia kazi.
 
Nmeangalia kwa *106# namba zlzosajlwa kwa nida yangu nmeshangaa kuona namba mbl za airtel na c zjui apa ndio tatzo lnapoanzia kwa levo za technlogia yetu watafungwa wasio tarajiwa na kuacha matapel yakbadl gia za kuendelea kupga watu.. Kkubwa serkal itrace kwa minara na imei znazotumia lne hzo kutapel mana n rahc mtu kuvnja lne akshapga tukio kulko kubadl cm
 
Tena saivi wamerudi kwa kazi hadi ya mganga flanaliemwezesha supafeo yupo ruvuma mwendee akutatulie tatizo laki




Yaani mpaka wanaboa
 
Nmeangalia kwa *106# namba zlzosajlwa kwa nida yangu nmeshangaa kuona namba mbl za airtel na c zjui apa ndio tatzo lnapoanzia kwa levo za technlogia yetu watafungwa wasio tarajiwa na kuacha matapel yakbadl gia za kuendelea kupga watu.. Kkubwa serkal itrace kwa minara na imei znazotumia lne hzo kutapel mana n rahc mtu kuvnja lne akshapga tukio kulko kubadl cm
Mzee hii issue uliresolve vipi
 
Back
Top Bottom