maadili gani ikiwa we mwenyewe humu unaongea utumbo tupu.TCRA wako sahihi na wanafanya kazi kwa weledi.
Nawapa pongezi kwa hilo.
Laiti madereva barabarani wangekuwa wanafungiwa baada ya kutenda makosa basi gari zingekuwa zinahesabika humu barabarani
Ifike mahali TCRA ijikite kutoa adhabu kwa kupiga faini ndefu na kufungia baadhi ya wanaovunja sheria kutojihusisha na kazi fulani kwa miezi kadhaa kuliko kufungia taasisi nzima ambapo kunawaathiri hata wasio husika
Piga mtu faini ya milioni kadhaa adabu itakuwepo na muwaweke chini ya uangazili lakini kuifungia taasisi nzima kwa miezi sita hakusaidii kitu sana sana kukomoana tu na kufunga ajira za watu ambao wengine hata hawakuhusika ifike mahali TCRA ipige rungu kiakili ili kutoathiri ajira za Watanzania na kuhakikisha serikali bado inapata mapato yake lakini sio kufungiana ndani hapa wanakosea
Ni heri mngewapiga faini hata milioni 30 wangelipa mjenge madarasa watoto wasome kuliko kuifungia taasisi nzima kwa miezi sita, hapo mnauwa ajira na mnaikosesha serikali mapato yake, wekeni mfumo wa kupiga faini ndefu kulingana na kosa na kufungia baadhi ya watu waliohusika mziumize taaisisi nzima hapo mnakosea
Kukosea wamekosea? ndio wamekosea,lkn tujiulize je events ilikuwa ni live au ili edit-wa ikarushwa tena? Event ilikuwa live.
So kucontrol live events ni shughuli sana na ndio maana wenzetu mfano (BET Awards) kabla events yao haijaenda hewani wanakuambia kabisa hii ni live event na wanakwambia wanaotakiwa kuangalia ni watu wazima (18).Sababu wanajua sometime hasa wasanii wakike inaweza ikatokea kaanguka,Chupi ikakaa pembeni mashavu ya papuchi ya kaonekana (Ishamtokea Beyonce. Beyonce Suffers Onstage Panty Slip! Hot Pics Provided! | NSFW Celebs ) au sometimes hata lugha inaweza kuwa kali.
Kama ingekuwa events sio ya live kweli wanastahili hiyo adhabu ,sababu kinapitiwa na muhariri lkn still bado adhabu ni kubwa,unapoifungia TV miezi sita maanake kuna watu watakosa ajira kwa miezi sita hawana mshahara na ukizingatia mwezi wa January ni mwezi mgumu mno,manake familia zao zitakuwa na hali mbaya.
Kama ndio hivyo basi wapige marufuku mpaka Miss Tanzania manake wale wanavazi la ufukweni,sasa pata picha labda mmoja wa washiriki kadondoka alafu chupi nayo ikakaa pembeni papuchi ikaonekena manake hiyo TV itaifungia ,Fiesta zmida ya night kali kuna baadhi ya wasanii wanatukana kabisa ,ndugu yangu Majizo na watu wake wa singeli walio vurungwa nao itakuwa hivyo,sasa utafungia vituo vingapi manake events zote hizo zinaenda live na wasanii wetu wengi hutumia vilevi bange na vinywaji.
Cha msingi kama mimi TCRA ninge deal na Giggy Money wampe adhabu na wamkanye,Wasafi TV ningewatoza faini na ningeweka sheria kwamba kabla ya tukio ambalo kuna uwezekano ya katokea mambo ya kimaadili,lionyeshwe kuanzia saa 4 au 5 usiku na kabla ya kuanza waseme tukio hili wanatakiwa kutizama watu wa miaka 18.
NB;Manake kama hivyo basi wazuie kabisa Wasafi festival,Fiesta,Miss Tanzania na Mziki mnene zisiende live,sababu haya matukio mambo kama haya ,haya kwepeki yanaweza kutokea mda wowote jukwaani.
Kwani umeona mie nimekiuka sheria na matakwa ya hiyo taasisi?maadili gani ikiwa we mwenyewe humu unaongea utumbo tupu.
🤔😙😙😙Kwani umeona mie nimekiuka sheria na matakwa ya hiyo taasisi?
Ukiona sijawajibishwa basi jua sijakiuka taratibu za maadili.
Poleeeeh kwa kuteseka. Maumivu yakizidi muone Daktari msieeeeew
Utajua mwenyewe, hovyooooooh.[emoji848][emoji11][emoji11][emoji11]
una stress si bure🤭🤭Utajua mwenyewe, hovyooooooh.
Wee ndo una stress unavo haha na mie, poleeeeeeehuna stress si bure[emoji2960][emoji2960]
jichekeshe tu I don't give a https://jamii.app/JFUserGuideWee ndo una stress unavo haha na mie, poleeeeeeeh
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Just 4 u, mynd ur own bznes msieeeeeew.jichekeshe tu I don't give a ****