TCRA mlichonifanyia kinaumiza Sana moyo wangu

TCRA mlichonifanyia kinaumiza Sana moyo wangu

Kapepo

JF-Expert Member
Joined
Aug 14, 2015
Posts
1,066
Reaction score
1,194
Kwekweli Leo nilikuwa na mihadi na demu wangu mpya sijawahi kula hata siku moja keshakula vyangu leo ijumaa tumepanga tukatiane namcheki muda huu naambiwa namba nayopiga imezuiliwa kupokea simu kwa sasa nijaribu tena baadae Wakati Jana tumapanga vizuri tu hii hari inaniumiza mno kwakweli, nahivi nshapakaa mkongo mie leo ntafanyaje kwakweli 😥😥😥😥
 
Mkuu, hili ni jambo la kikatili sana, jambo kama hili linaweza likanifanya mimi niandamane kupinga ukatili huu wa kimtandao
 
Kwekweli Leo nilikuwa na mihadi na demu wangu mpya sijawahi kula hata siku moja keshakula vyangu leo ijumaa tumepanga tukatiane namcheki muda huu naambiwa namba nayopiga imezuiliwa kupokea simu kwa sasa nijaribu tena baadae Wakati Jana tumapanga vizuri tu hii hari inaniumiza mno kwakweli, nahivi nshapakaa mkongo mie leo ntafanyaje kwakweli [emoji26][emoji26][emoji26][emoji26]
Itabidi ujiunge na wanachama wa chaputa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Muibukie ghetto kwake usikubali kushindwa kula tunda kimasihara
 
Back
Top Bottom