TCRA mtakapofunga Simcard za watu mjiandae kulipa madeni ya kwenye simu

TCRA mtakapofunga Simcard za watu mjiandae kulipa madeni ya kwenye simu

MakinikiA

JF-Expert Member
Joined
Jun 7, 2017
Posts
5,104
Reaction score
6,827
Ebwana eee kwa yule anayeweza kukopa kwenye simu muda ndio huu kopa kopa kopa kwa bidii mlipaji yupo kwa maana fedha zipo pale TCRA za kulipa hayo madeni ,hakuna kampuni itakayokubali hasara kirahisi, Mpawa tu wana kama bilions of money hazijarejeshwa, ebwana wekeni mikakati kupata vitambulisho, toeni elimu na umuhimu kuwa na kitambulisho cha NIDA na siyo kuwatisha watu kufunga simcard ni uvunjifu wa haki za kiraia

Kulikuwa na usajili wakala anapiga simu ndipo simcard inasajiliwa ukafutwa
Ukaja usajili wa kupiga picha unaenda kufutwa
Unakuja usajili wa DOLe hautakuwa na tija kwa sababu mawakala wao wanajali NJAA tu, Ulaya simcard haziuzwi kama njugu kama hapa Bongo
 
Ebwana eee kwa yule anayeweza kukopa kwenye simu muda ndio huu kopa kopa kopa kwa bidii mlipaji yupo kwa maana fedha zipo pale TCRA za kulipa hayo madeni ,hakuna kampuni itakayokubali hasara kirahisi, Mpawa tu wana kama bilions of money hazijarejeshwa, ebwana toeni elimu ya kuwa na kitambulisho cha NIDA na siyo kuwatisha watu kufunga simcard ni uvunjifu wa haki za kiraia

Kulikuwa na usajili wa wakala anapiga simu ndipo simcard inasajiliwa ukafutwa
Ukaja usajili wa kupiga picha unaenda kufutwa
Unakuja usajili wa DOLe hautakuwa na tija kwa sababu mawakala wao wanajali NJAA tu, Ulaya simcard haziuzwi kama njugu kama hapa Bongo
Uvunjifu wa haki za kiraia ki vipi? Tatizo la watanzania wengi ni kama kenge hadi aone damu imetoka masikioni ndio aamini kuwa heee!! Am dead!! Japo zoezi la uandikishaji Ulikuwa na mapungufu yake ila watu walilichukulia powa tu kama kawaida yao!! Ulikuwa ukienda kwenye ofisi za serikali za mitaa unakuta lundo na vitambulisho, ambavyo wenyewe hawajavifuata!! Hadi leo vipo japo baada ya zoezi hili vimepungua!! Sasa baada ya kuona huu muache muache ndio watu wengi wanaanza kuenda kujiandikisha leo?!! Zoezi toka mwaka 2013 huko, lilianza tena dar ndio wazembe kweli, na ndio wapiga kelele nyingi!! Kuhusu makampuni ya simu hawana ujanja kwani lazima wa comply na sheria tu!! Line itafungwa utakapopata kitambulisho utaenda kujisajiri tu, na utarudi hewani!!! Na hili zoezi ndio mwisho wa matatizo kwenye uhalifu wa kimtandao hasa kupitia simu za mkononi!! Japo kuna wajinga ambao wanatumia kitambulisho vyao kusajilia watu wengine, hawajui madhara ya mbeleni yanayoweza kuwakuta!! SERIKALI IKOMAE HIVYO HIVYO TU, kama mtu unaona tabu sio lazima kuwa na simcard, baki na simu yako tu, fanya mengine tu, tuone kama mambo yatakwenda vilivyo!!!!
 
Ebwana eee kwa yule anayeweza kukopa kwenye simu muda ndio huu kopa kopa kopa kwa bidii mlipaji yupo kwa maana fedha zipo pale TCRA za kulipa hayo madeni ,hakuna kampuni itakayokubali hasara kirahisi, Mpawa tu wana kama bilions of money hazijarejeshwa, ebwana wekeni mikakati kupata vitambulisho, toeni elimu na umuhimu kuwa na kitambulisho cha NIDA na siyo kuwatisha watu kufunga simcard ni uvunjifu wa haki za kiraia

Kulikuwa na usajili wakala anapiga simu ndipo simcard inasajiliwa ukafutwa
Ukaja usajili wa kupiga picha unaenda kufutwa
Unakuja usajili wa DOLe hautakuwa na tija kwa sababu mawakala wao wanajali NJAA tu, Ulaya simcard haziuzwi kama njugu kama hapa Bongo
Hata huo wa dole naona kama utafutwa, watadai DNA kabisa.

Hawana akili nzuri hawa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
FF47BAF6-C1E6-4C4C-B2AE-F63DE01F2032.png
ninawalipa kesho alafu nachukuwa kubwa kuliko 😂😂😂
 
Back
Top Bottom