TCRA na Airtel Mtusaidie

TCRA na Airtel Mtusaidie

Chingome

Member
Joined
Sep 23, 2020
Posts
58
Reaction score
93
Katika hali isio ya kawaida mmefunga laini za mawakala zenye kutumia majina ya wakala wakuu kama NITAK LTD, bila ya kutoa taarifa. Mmezifunga laini zenye pesa zetu, tunaomba mtufungulie japo kwa siku moja ili tuzihamishe
 
Airtel ni janga,line yangu nimehakiki lakin kila siku naoigiwa kelele za kuhakikisha kwa alama za vidole.

Kifurushi cha 500 ni mb 150 lakini kwa bei hiyo hiyo kwa mkopo mb 300 hii imekaaje?
 
Wanakile kifurushi chao cha usiku 1500 kwa 10GB. Jiunge sasa km utamaliza hata mb 200.
Airtel ni janga la kitaifa.
Airtel ni janga,line yangu nimehakiki lakin kila siku naoigiwa kelele za kuhakikisha kwa alama za vidole.

Kifurushi cha 500 ni mb 150 lakini kwa bei hiyo hiyo kwa mkopo mb 300 hii imekaaje?
 
Waziri mwenye dhamana kutwa yuko anapigana na watumiaji wa WhatsApp wakati mambo ya msingi kama haya anajifanya hayaoni
 
Kwa hiyo ukilalamika hapa ndio utapata suluhisho. Tujifunze kufuata utaratibu na kuacha kulalama na kupoteza muda kwa mambo ya msingi. Nenda kwa mtoa huduma wako utatuliwe shida yako. Sasa ukileta suala lako hapa sisi ndo Airtel? Sisi ndio TCRA?. Asheeh!!
 
Halotel nilikuwa naitumia sana kushusha software zaidi ya Gb 10. Nilihama mkoa, kujiunga ile usiku aisee usikuweza hata kumaliza 500mb. Ikabidi nilale
Nikajiunga na Airtel aisee niliambulia 200mb tu tena kuanzia saa 8-9. Ikabidi nilale tu. Sijawahi jiunga tena tangu mwezi 10/2020
Usiku bora halotel 1500 unltd data mzigo 4G MB10/s wakat Airtel ikijitahidi sana 1.5MB/s
 
Kwa hiyo ukilalamika hapa ndio utapata suluhisho. Tujifunze kufuata utaratibu na kuacha kulalama na kupoteza muda kwa mambo ya msingi. Nenda kwa mtoa huduma wako utatuliwe shida yako. Sasa ukileta suala lako hapa sisi ndo Airtel? Sisi ndio TCRA?. Asheeh!!
Sijajua elimu yako siwezi kukulaumu,kwani unafikiri humu unasoma wew tu?tcra au Airtel hawaingii humu?think outside the box
 
Sijajua elimu yako siwezi kukulaumu,kwani unafikiri humu unasoma wew tu?tcra au Airtel hawaingii humu?think outside the box
Acha makasiriko this platform was meant for socialising wewe unakuja unahororojoka na malalamiko yako humu; unaambiwa ukweli unalialia, au umesikia JF ni Airtel au TCRA, humu tutakuzodoa tu kama hivi na ukikasirika zaidi ndo tunapiga spana tena na tena.

Sikia, piga simu # 100 huko Airtel help desk watakusaidia alternatively andika malalamiko yako ya huduma duni za MNO wako kwenda TCRA kisha tuma via email kwa malalamiko@tcra.go.tz nakala kwa dg@tcra.go.tz.

Kujifunza zaidi soma mwongozo wa malalamiko yako juu ya huduma za mawasiliano.

wanabodi washafahamu who has mental deprivations. Una kila dalili za OBSESSIVE-COMPLAINING DISORDER (OCD) you might need some psychiatric consultations.

N'yadikwa
 
Acha makasiriko this platform was meant for socialising wewe unakuja unahororojoka na malalamiko yako humu; unaambiwa ukweli unalialia, au umesikia JF ni Airtel au TCRA, humu tutakuzodoa tu kama hivi na ukikasirika zaidi ndo tunapiga spana tena na tena.

Sikia, piga simu # 100 huko Airtel help desk watakusaidia alternatively andika malalamiko yako ya huduma duni za MNO wako kwenda TCRA kisha tuma via email kwa malalamiko@tcra.go.tz nakala kwa dg@tcra.go.tz.

Kujifunza zaidi soma mwongozo wa malalamiko yako juu ya huduma za mawasiliano.

wanabodi washafahamu who has mental deprivations. Una kila dalili za OBSESSIVE-COMPLAINING DISORDER (OCD) you might need some psychiatric consultations.

N'yadikwa
You know what! This is what you had to tell me before,you gave a lesson to not only me but also other members,thanks
 
Wanakile kifurushi chao cha usiku 1500 kwa 10GB. Jiunge sasa km utamaliza hata mb 200.
Airtel ni janga la kitaifa.
As far as internet bundles is concerned in this country ni voda na Halotel angalau...
 
Back
Top Bottom