Uchaguzi 2020 TCRA na Mitandao ya simu mtuombe radhi kwa SMS hii. Mmetoa namba za wananchi kwa wanasiasa? Mmefanya makosa makubwa!

Yani unachukua taarifa zangu halafu unampa mtu mwingine huoni kama huo ni upuuzi?

Hizo T & C's zipo kwa ajili ya mteja na kampuni ya simu, unapompa third party taarifa zangu hiyo ruhusa umeipata kwa nani? wanasema unapokuwa umewapa idhini wabia wao wanaweza kutoa taarifa zako, sasa ni nani amewapa Vodacom Tanzania idhini ya kutoa taarifa zangu kwa CCM (wabia wao) wakati mimi mtumiaji sijawapa hiyo idhini?

Hao Vodavom ndio maana wakati fulani watu walitupa line zao, kwasababu ndio wa kwanza kujipendekeza kwa CCM.
 
TATU MZUKA huwa wanakuandikia mpaka jina lako?
Ukiona wameandika jina lako ujue ulicheza. So kuna hizo alafu kuna ambazo haujacheza ila wanatuma kama promo ili ucheze, Zinakua hazina jina lako.
 
Huu mchezo hawajaanza Leo, Vodacom na Airtel ndo zao. Wamempa access JPM ya database za wateja wao.

Natamani watu waende mahakamani kwa hili ili haya makampuni yalipishwe fidia ya kutosha.
Uhuni huu ukomeshwe kwanza kwa kumnyima kura huyo ili wajue kwamba wananchi wameamka
 
Mie pia
 

Attachments

  • IMG-20201018-WA0006.jpg
    27.2 KB · Views: 1
Kweli safari hii uchaguzi ni moto mpaka watu wanaomba kura kwa sms

Miaka 5 wamefanya siasa peke yao !!!
 
Tulizeni munkar, leo mmepokea kutoka CCM ndio mnataka kwenda mahakamani afu wengine wanasema eti kapewa database 😀

acheni utani, hizi meseji za matangazo zipo nyingi sana tu tunatumiwa za makampuni mbalimbali kila uchwao wakitusumbua tu.
Acha ujinga wengine hatutaki Mambo yenu ya siasa zenu na kura hatupigi, Mimi mtandao ninaotumia huwa situmiwi vitu visivo nihusu kwanini unitumie wanasiasa awe Act, CDM, CCM ctaki why wanitumie bila ridhaa yangu na Mimi Sina chama
 
Acha ujinga wengine hatutaki Mambo yenu ya siasa zenu na kura hatupigi, Mimi mtandao ninaotumia huwa situmiwi vitu visivo nihusu kwanini unitumie wanasiasa awe Act, CDM, CCM ctaki why wanitumie bila ridhaa yangu na Mimi Sina chama
Bila shaka mjinga itakuwa ni weye, mana sijakwambia kuwa wamefanya sawa ama la kwa kukutumia meseji, nilichojaribu kuzungumza hapa ni kuonesha kuwa hizo meseji kabla ya CCM makampuni mengine yalikuwa yakituma pia bila ridhaa ya mteja.

Sasa katafute mtu akutoe ujinga ili next time uwe unaelewa nini kimezungumzwa.
 
Ndio ivo kaka, hakuna namna hapo labda uache kutumia mtandao wao..
 
CCM mwaka 2020 walidhani watatumia miradi ya flyover SGR ujenzi wa bwawa la umeme ununuzi wa Ndege miradi ya kifisadi miradi yenye 10% za wajanja wachache, miradi isiyoguswa na CAG, watanzania wenye Akili timamu hawawezi kushabikia CCM inayofanya mambo ya hovyo na kugeuza miradi ya umma kwa pesa za walipa kodi kuonekana ni Hisani za CCM, utazani CCM wanachukua pesa zao binafsi tokea mfukoni mwa polepole na Bashiru na mtukufu magufuli.
 
Mahakama ya wapi?
Huu mchezo hawajaanza Leo, Vodacom na Airtel ndo zao. Wamempa access JPM ya database za wateja wao.

Natamani watu waende mahakamani kwa hili ili haya makampuni yalipishwe fidia ya kutosha.
 
Huu mchezo hawajaanza Leo, Vodacom na Airtel ndo zao. Wamempa access JPM ya database za wateja wao.

Natamani watu waende mahakamani kwa hili ili haya makampuni yalipishwe fidia ya kutosha.
Si uende wewe mkuu unaogopa nini,utaingia barabaran trh 28 kweli
 
Mimi sijawahi kutumiwa before why now, kwanza kwanini utoe taarifa zangu kwa wanasiasa ndio concern yangu, pia taarifa nyingine ili utumiwe lazima ujiunge kwa ridhaa bila ku force I wonder why unatetea utopolo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…