[emoji3]Hili jambo ameniambia wife leo yeye ametumiwa tena limesomeka jina ambalo si lake.
Nikajisemea ole wao wanitumie msg kama hizi. Kwanza ni usumbufu na kutukosea adabu, hivi inakuwaje wanadhani ya kuwa kila mtu ni mpiga kura ? Sisi wengine tunakuwa na vitambulisho vya kupiga kura kuepuka usumbufu tu katika harakati zetu.
[emoji23][emoji23]Mm nimeitwa ndg JUMA, wakatii sioo jina langu, Wana nini awa watu aiseee.....??View attachment 1603666
CCM bila Polisiccm bila Tumeccm bila mahakamaccm bila wakurugenziccm bila Msajiliccm bila uchakachuaji bila wizi wa kura ni weupe sanaNdio ivo kaka, hakuna namna hapo labda uache kutumia mtandao wao..
Mahakama zipo?Huu mchezo hawajaanza Leo, Vodacom na Airtel ndo zao. Wamempa access JPM ya database za wateja wao.
Natamani watu waende mahakamani kwa hili ili haya makampuni yalipishwe fidia ya kutosha.
Mm nimeitwa ndg JUMA, wakatii sioo jina langu, Wana nini awa watu aiseee.....??View attachment 1603666
Kama mnajua hivyo kwanini ,mnaimba nyimbo za ushindi,tena tutashinda vibaya [emoji23][emoji23][emoji23]CCM bila Polisiccm bila Tumeccm bila mahakamaccm bila wakurugenziccm bila Msajiliccm bila uchakachuaji bila wizi wa kura ni weupe sana
Hakuna kuwaachia nyani ccm shamba tutapambana hapa hapa mpaka nyani waachie shambaNatamani mnaopinga wote muhame nchi muende mkaishi Congo au muende Rwanda mkaishi huko kwa muda fulani.
Kwahiyo makampuni mengine yakifanya kosa na hayo makampuni ya simu nao wanaruhusiwa kufanya kosa hilo hilo?Bila shaka mjinga itakuwa ni weye, mana sijakwambia kuwa wamefanya sawa ama la kwa kukutumia meseji, nilichojaribu kuzungumza hapa ni kuonesha kuwa hizo meseji kabla ya CCM makampuni mengine yalikuwa yakituma pia bila ridhaa ya mteja.
Sasa katafute mtu akutoe ujinga ili next time uwe unaelewa nini kimezungumzwa.
Kwa sasa amekua mpole sana, miaka mitano katunyanyasa...Huyu kumpa kura basi tuHahaaa na Mimi nilipata message mda huo huo wa usiku mneneView attachment 1603730
Makampuni yote mawili ama serikali ama CCM ni wamiliki.Huu mchezo hawajaanza Leo, Vodacom na Airtel ndo zao. Wamempa access JPM ya database za wateja wao.
Natamani watu waende mahakamani kwa hili ili haya makampuni yalipishwe fidia ya kutosha.
Usikubali kudhulimiwa haki yako kirahisi hivyo. Hapo nimeonesha kwenye hizo T & C's za Voda wenyewe wanasema watatoa taarifa zako kwa wabia wao pale watakapopata idhini toka kwa mteja wao, sasa mbona wanatoa hizo taarifa za wateja kwa CCM bila kupata idhini toka kwa wateja wao?Ndio ivo kaka, hakuna namna hapo labda uache kutumia mtandao wao..
Ndo ujinga huo hatuutaki Kama na haki ya kupiga kura pia na haki ya kuongea na viongozi nitakao wapigia kula.Sababu muhuni bado anayo haki yakupiga kura.
Natamani wote waliotumiwa hizo jumbe walalamike kwenye kampuni husika.huu mchezo umechezwa na tume ya uchaguzi pia.Wao pia wanadatabse ya wapiga kura yenye namba za simu pia.Mie pia
Kwa wewe, kwa wengine ni laanaKutumiwa meseji na Mh. rais ni jambo la baraka sana
Subiri 2060,tundu lissu akiwa lais ndio utapewa hiyo haki ,hizi ni zama za chama kubwa CCM DUME#Usikubali kudhulimiwa haki yako kirahisi hivyo. Hapo nimeonesha kwenye hizo T & C's za Voda wenyewe wanasema watatoa taarifa zako kwa wabia wao pale watakapopata idhini toka kwa mteja wao, sasa mbona wanatoa hizo taarifa za wateja kwa CCM bila kupata idhini toka kwa wateja wao?
Ngoja uchaguzi uishe hapo mwezi wa kuanzia kumi na moja atasema hapangiwi na yoyote, Ila akirudi abadilike na yeye sio watu wamekubwa na janga badala awape pole anasema hakuleta tetemeko, watu wanavunjiwa nyumba Yuko kimya vile hawakumpigia kura. I hope next term atabadilika awe ana sympathize na Raia wake.Kwa sasa amekua mpole sana, miaka mitano katunyanyasa...Huyu kumpa kura basi tu