TCRA ni lini mtatulinda dhidi matapeli wanaoingia kwenye account zetu za kijamii bila ridhaa yetu?

TCRA ni lini mtatulinda dhidi matapeli wanaoingia kwenye account zetu za kijamii bila ridhaa yetu?

ASIE NA MAKUU

Member
Joined
Aug 10, 2021
Posts
45
Reaction score
66
Kama sio mhanga wa hii kadhia basi moja wa ndugu au rafiki yako atakuwa amekutana nayo .Kumekuwa na utapeli unaoshika kasi hasa mtandao wa facebook .

Matapeli wanaweza kuingia kwenye account yako facebook kisha wanapost kuwa umejishindia promotion .Na walivyo wajinga wanaenda sehemu ya comment wanaanza kutoa shuhuda kuwa wamefanikiwa baada ya kujiunga .

Ukitoa comment inayokinzana na wao ,wanakufungia hivyo unashindwa kukomment mara ya pili, pia wanafuata hio comment yako.Pia wanakutana kipengele cha SHARE ili usiwatag marafiki zako endapo utataka kufanya hivyo.

Tunawaomba TCRA mtulinde na hawa maharamia ikiwezekana muwakamate na kuwafikisha kwenye vyombo vya sheria ,kwa kweli wanakwaza sana watu.

Wakati mwingine unajikuta wametuma picha za uchi jambo ambalo ni kinyume na maadili yetu pia kukuchafua katika jamii inayokuzunguka.

Ahsanteni najua TCRA watalichukua na kulifanyia kazi, pia naomba itoe tamko kwenye vyombo vya habari na mitandao ya kijamii kuhusu aina hii ya utapeli,na kuchukua hatua madhubuti.

Screenshot_20240607-120731_Facebook.jpg
 
Dah hii kali asee.

Ila sasa mkuu na wewe umeweka ushahidi mmoja tu wa kujishindia lile lalamiko lako jingine je mbona hujaliwekea ka picha ka ushahidi mkuu
 
Dah hii kali asee.

Ila sasa mkuu na wewe umeweka ushahidi mmoja tu wa kujishindia lile lalamiko lako jingine je mbona hujaliwekea ka picha ka ushahidi mkuu
Nimeweka picha ya ushahidi hapo, na ninafanya hivi kuwasaidia wengi ambao hawajui huu mchezo mchafu unaofanywa na hili genge
 
Kufungua fungua Link ndo sababu.
Sababu sio kufungua link naona hujanielewa .Kwa mfano mimi najua ni matapeli baada ya tu ya kusoma posta yao,ila kile kilichonisukuma nije nitoe huu uzi ni kwa sababu wanatumia account za watu kueneza utapeli wao.
Usije kushangaa utakuta account ya rafiki yako imetumika kufanya utapeli au hata yako na wewe ukawa huna habari.
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Na ninyi kwanin mnatumiwa link mnazifungua
Umesoma vizuri kichwa cha habari ,isue sio kutumiwa link ,isue kubwa ni profile ya anaekutumia hio link anaweza kuwa rafiki au ndugu yako alafu yeye mwenyewe akawa hana habari ,na hata akijua anashindwa kuingia kwenye account yake maana inakuwa tayari imechukuliwa. Ndio maana naomba TCRA waingilie kati
 
Kama sio mhanga wa hii kadhia basi moja wa ndugu au rafiki yako atakuwa amekutana nayo .Kumekuwa na utapeli unaoshika kasi hasa mtandao wa facebook .

Matapeli wanaweza kuingia kwenye account yako facebook kisha wanapost kuwa umejishindia promotion .Na walivyo wajinga wanaenda sehemu ya comment wanaanza kutoa shuhuda kuwa wamefanikiwa baada ya kujiunga .

Ukitoa comment inayokinzana na wao ,wanakufungia hivyo unashindwa kukomment mara ya pili, pia wanafuata hio comment yako.Pia wanakutana kipengele cha SHARE ili usiwatag marafiki zako endapo utataka kufanya hivyo.

Tunawaomba TCRA mtulinde na hawa maharamia ikiwezekana muwakamate na kuwafikisha kwenye vyombo vya sheria ,kwa kweli wanakwaza sana watu.

Wakati mwingine unajikuta wametuma picha za uchi jambo ambalo ni kinyume na maadili yetu pia kukuchafua katika jamii inayokuzunguka.

Ahsanteni najua TCRA watalichukua na kulifanyia kazi, pia naomba itoe tamko kwenye vyombo vya habari na mitandao ya kijamii kuhusu aina hii ya utapeli,na kuchukua hatua madhubuti.

View attachment 3010886


Link inayozungumza hapa ni kama hii[emoji116]
Screenshot_20240607-130144.jpg
 
Tatizo kubwa la watz wengi kupenda pesa za bure imagine.
Mtu/Taasisi usiyoijua ikupe wewe pesa za bure ili iweje?
Kuna pesa za bure dunia ya leo??

Wangese hao walinitumia huo ujumbe wao nilimalizana nao kibabe sana.
 
Ukiona account ya rafiki yako imetumika basi jua na yeye ana shida
 
Kama na hii nayo ni kazi ya TCRA basi kazi ipo.
 
Sababu sio kufungua link naona hujanielewa .Kwa mfano mimi najua ni matapeli baada ya tu ya kusoma posta yao,ila kile kilichonisukuma nije nitoe huu uzi ni kwa sababu wanatumia account za watu kueneza utapeli wao.
Usije kushangaa utakuta account ya rafiki yako imetumika kufanya utapeli au hata yako na wewe ukawa huna habari.
Mkuu, yaani ili profile yako itumike lazima ukubali, wanachokifanya wanatuma maombi ya wewe kukubali kutumika kupitia link ya jambo fulani nzuri.
 
Back
Top Bottom