Wadau mitandao ya Airtel na Voda I asumbua wateja sbb haiwezi kupokea pesa kutika Benk nk au kutuma peaa ,,matokeo yake wananchi wanakula sikukuu kwa shida. TCRA piga fain au fyngueni Hawa jamaa kwa siku tatu Hadi waingeze ubora na umakini.Vitendo wanavyofanya wanmsharau Rais Samia?.Mbona hawakuwahi kuleta ujinga huu wakati wa magufuri.