Kasomi
JF-Expert Member
- Sep 3, 2014
- 11,030
- 20,391
Mamlaka Ya mawasiliano Tanzania (TCRA) imewaomba wanachi kuripoti utapeli wowote unao fanywa kwa njia ya mitandao kwa kutuma aina ya message na namba iliyo tumika kufanya utapeli kwenye namba 15040.
Utapeli huo ni wa Aina yeyote hata ule unao andika "...Ile pesa itume kwenye namba..."
Au utapeli wa Aina yeyote.
MUHIMU! Usibofye linki +unayoishuku iliyotumwa kwa njia ya SMS. Simu yako inaweza kudukuliwa kwa tendo hili. Ripoti utapeli kwa kuituma hiyo SMS kwenye namba 15040.
TCRA
Utapeli huo ni wa Aina yeyote hata ule unao andika "...Ile pesa itume kwenye namba..."
Au utapeli wa Aina yeyote.
MUHIMU! Usibofye linki +unayoishuku iliyotumwa kwa njia ya SMS. Simu yako inaweza kudukuliwa kwa tendo hili. Ripoti utapeli kwa kuituma hiyo SMS kwenye namba 15040.
TCRA