Haimaanishi kuwa wao hawatumiwi, mbona hata polisi wanaibiwa ila bado wanakamata wahalifu, tena recent kuna traffic police Kenya kaibiwa simu wakati yupo barabarani. Ripoti hizo namba unaweza kuokoa wengi kupigwaWakati matapeli wanawatumia hata wao TCRA wangekua wapo makini wangewakamata na hizo mambo zisingekuwepo tena...
Ili waonekane wapo kaziniHili ni Tatizo la nchi yetu yaani kuna vitu wanafanya kama maigizo
Hukuripoti tatizoLeo nmerpot kenge mmoja ananitumia msg kujifanya Hr wa Tanesco et nataka vijana wawil tu wenye level ya certfcate au dploma nlvyo mwambia we huna ndugu wenye shida ya kaz akaanza matus mfululizo
View attachment 1845280
Kweli kabisa hapa naona hawajaridhia kabisa kusaidia maana hawana ushirikianoTCRA wenyewe ndiyo kikwazo Kwa polisi kitengo Cha Cyber crime kukamata matapeli.
Hawatoi ushirikiano Kwa wakati wanapoombwa taarifa za namba za watuhumiwa wa utapeli.
Wangejikita huko zaidi badala ya huu upotevu wa muda.
Watajaziwa namba za ex wa watu tu.
Yalionekana kwenye website yao labda kama wameondoa zile picha maana kipindi cha uchaguzi baadhi ya wadau humuhumu jukwaani walisema yanapikiwa ubwabwa kwa ajili ya wapigakura wa chama dumeKumbe yale magari ndo yao