TCRA saidieni kwenye hili la vifurushi, hali tete

TCRA saidieni kwenye hili la vifurushi, hali tete

Njowepo

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2008
Posts
9,710
Reaction score
2,240
Hii mitandao ya simu kila leo wanapunguza package zao ila kwa bei ile ile. Mfano Vodacom kwa mwezi wa Nov na Oct kwa malipo ya Tshs 50,000 nimekuta wamepunguza 3GB na dk 200. wamepunguzakama ifuatavyo;

~ 50,000 Nov Package unapata :1200minutes 500sms 20GB.

~ 50,000 Oct Package nilipata 1400min 500sms 23GB.


Kuna haja ya kufuatilia haya mambo, halafu hizo GB 23 zamani ulikuwa unaweza kaa nazo hata siku 15, ila siku izi hata siku 10 nyingi. Shida hapo kupima ni mpaka hao hao wataalamu.
 
Sidhani maana....!
giphy.gif
 
Lengo lao lilikuwa kuzipunguza kabisa ila wakaona watu tutagomea hivyo wanazishisha kidogo kidogo , mkizoea wanashusha tena , mpaka ifike lowest , kwagharama ileile.
Hata hivyo lengo ni pesa inayozidi ipelekwe serikalini kuchangia maendeleo mbalimbali.
Mfano MB 500 ilikuwa Sh 500 ikijakuuzwa Sh. 1000 maana yake ni kwamba ile 500 iliyoongezwa ni mali ya serikali kupitia TCRA , ndio maana hawawakemei hao .
Serikali inahangaika sana kutafuta pesa , miradi inaelemea.
 
Kima, ngedere, nyani, sokwe, tumbili huwezi kupeleka kesi ya mmoja wao kwa mwengine halafu utegemee kesi iamuliwe katika usawa aisee...!
Ata kama hawatalifanyia kazi ni wajibu wetu kulisema ilo
 
Dah kweli hali tete Airtel 20,000/= ilikua unapata GB 11 , now unapata GB 9.5 pekee
 
Lengo lao lilikuwa kuzipunguza kabisa ila wakaona watu tutagomea hivyo wanazishisha kidogo kidogo , mkizoea wanashusha tena , mpaka ifike lowest , kwagharama ileile.
Hata hivyo lengo ni pesa inayozidi ipelekwe serikalini kuchangia maendeleo mbalimbali.
Mfano MB 500 ilikuwa Sh 500 ikijakuuzwa Sh. 1000 maana yake ni kwamba ile 500 iliyoongezwa ni mali ya serikali kupitia TCRA , ndio maana hawawakemei hao .
Serikali inahangaika sana kutafuta pesa , miradi inaelemea.
Huu sasa ni uharamia na alafu bundle za siku zina kwisha fasta sijui kuna namna wanafinya uko kwa system
 
Wanaiba kwenye kuuza na kwenye matumizi kwa sababu hakuna anaewakagua...
 
Back
Top Bottom