Mpalakugenda
JF-Expert Member
- Jun 2, 2015
- 4,611
- 5,009
Salam kwenu.
Naona sasa imekuwa kero sana kwa makampuni ya simu kuamua kuzifanyia usajili upya namba simu kwa kigezo hazijatumika kati ya miezi 3 hadi 6.
Leo nimemtafuta mtu kwa namba ta tigo ambayo tulikuwa tukiwasiliana kwa muda mrefu isipokuwa siku za karibuni. Naastaajabu anapokea mtu tofauti.
Kuna siku nimerekebisha simu iliyokufa, niliacha line humo naashangaa haifanyi kazi, naambiwa imepewa usaji kwa mtu mwingine.
Leo pia kuna jamaa analalamika ameenda benk kukopa, anaambiwa namba yake inaonekana alishakopa akatelekeza deni.
Labda TCRA watusadie, ulazima ni upi kuruhusu usajili upya kwa namba ambazo hazitumiki.
Hizi ni identity za watu na ambazo zinaacha alama, tunazungumzua kanzi data binafsi. Sheria yetu inasemaje kuhusu taarifa binafsi.
Fikiria namba yako leo ghafla imetumika na wale jamaa zetu tuma kwenye namba hii.
Soma Pia: TCRA: Utapeli wa "Tuma kwa Namba Hii" umepungua sana nchini
Vodacom Tanzania , Tigo, airtel.
Nadhani mnaweza kufanya kitu, kama namba hazitumiki ni heri mpate consent ya mtu ama mziweke inactive hadi hapo anapoweza kufika katika ofisi zenu na kurudisha tena huduma. Wengine huacha kutumia namba kwa muda kwa sababu tofauti tu.
Naona sasa imekuwa kero sana kwa makampuni ya simu kuamua kuzifanyia usajili upya namba simu kwa kigezo hazijatumika kati ya miezi 3 hadi 6.
Leo nimemtafuta mtu kwa namba ta tigo ambayo tulikuwa tukiwasiliana kwa muda mrefu isipokuwa siku za karibuni. Naastaajabu anapokea mtu tofauti.
Kuna siku nimerekebisha simu iliyokufa, niliacha line humo naashangaa haifanyi kazi, naambiwa imepewa usaji kwa mtu mwingine.
Leo pia kuna jamaa analalamika ameenda benk kukopa, anaambiwa namba yake inaonekana alishakopa akatelekeza deni.
Labda TCRA watusadie, ulazima ni upi kuruhusu usajili upya kwa namba ambazo hazitumiki.
Hizi ni identity za watu na ambazo zinaacha alama, tunazungumzua kanzi data binafsi. Sheria yetu inasemaje kuhusu taarifa binafsi.
Fikiria namba yako leo ghafla imetumika na wale jamaa zetu tuma kwenye namba hii.
Soma Pia: TCRA: Utapeli wa "Tuma kwa Namba Hii" umepungua sana nchini
Vodacom Tanzania , Tigo, airtel.
Nadhani mnaweza kufanya kitu, kama namba hazitumiki ni heri mpate consent ya mtu ama mziweke inactive hadi hapo anapoweza kufika katika ofisi zenu na kurudisha tena huduma. Wengine huacha kutumia namba kwa muda kwa sababu tofauti tu.