TCRA, Vodacom wanatukata 200 kila tuongezapo salio za nini?

TCRA, Vodacom wanatukata 200 kila tuongezapo salio za nini?

Mwanga Lutila

JF-Expert Member
Joined
Nov 10, 2016
Posts
4,208
Reaction score
14,143
Hii sasa kwangu ni mara ya tatu,

Sijawahi kopa Ila nashangaa kila nikiweka salio.

Sina huduma yoyote ambayo nimejiunga.

Huu ni wizi.
 
Kila siku watu wanalalamikia ujinga wakijinga wa haya makampuni ya simu lakini hawabadiliki.ifike mahali kila mtu achukue hatua anavyoweza kulingana na anavyoona.Mimi line yangu ya voda walikua wanakata hivyo hivyo bila sababu nikaona isiwe shida.maana line nilinunua mwenyewe na pesa natafuta mwenyewe nikaacha kuiwekea salio mwaka sasa.Wataamua wenyewe waifunge au waiache maana sina mpango wakulegeza masharti.Ata watu niliokua nawasiliana nao nawao wameisahau,sasa hivi inaingiza meseji za makampuni ya kubet na ujinga ujinga mwingine naziangalia tu.Tusipokua na uchungu na pesa zetu kidogo tunazozipata kamwe hatuwezi kua na kizazi kitakacho heshimu pesa ya umma.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
tigo wao wnapita na tsh 99 kil cku ,ukiwacheki.. wanakwambia kun huduma cjui inaitwa game umejiunga wkt ukitzam hujwai kujiung ata ,unawaambia wakutoe ,wnasema wtakutoa after 24 hours but znapita izo saa ,makato ynaendlea kam kawaida!
 
Back
Top Bottom