kagombe
JF-Expert Member
- Mar 1, 2015
- 3,615
- 1,805
TCRA wakishazima line za simu waje mitaani sasa kuna kaujanja kanafanywa na hawa vijana wanasajili line mtaani.
Tena ni hatari wanayofanya hawa vijana wasio waaminifu sijui ni tamaa ya pesa au njaa yao.
Hapa tuwe makini tunaokwenda kusajili hapa kuna mchezo wanafanya usipokuwa makini unaweza ukasajilishwa line zaidi ya moja halafu hizo zingine wanabaki nazo wao na kuziuza kwa bei ya juu.
Hii ishu nimeshuhudia mtu anauziwa line kwa bei ya juu na usajili sio wake. Kwa hiyo tuwe makini tuendapo kusajili line zetu ukiona unaambiwa rudia kuweka kidole or hii ile imegoma rudia kuweka kidole utambue unaingia katika kesi.
Ushauri bora twende kwa mawakala wanaofahamika ila sio wapita njia au mtu ana mwamvuli tuwe makini.
Tena ni hatari wanayofanya hawa vijana wasio waaminifu sijui ni tamaa ya pesa au njaa yao.
Hapa tuwe makini tunaokwenda kusajili hapa kuna mchezo wanafanya usipokuwa makini unaweza ukasajilishwa line zaidi ya moja halafu hizo zingine wanabaki nazo wao na kuziuza kwa bei ya juu.
Hii ishu nimeshuhudia mtu anauziwa line kwa bei ya juu na usajili sio wake. Kwa hiyo tuwe makini tuendapo kusajili line zetu ukiona unaambiwa rudia kuweka kidole or hii ile imegoma rudia kuweka kidole utambue unaingia katika kesi.
Ushauri bora twende kwa mawakala wanaofahamika ila sio wapita njia au mtu ana mwamvuli tuwe makini.