SULEIMAN ABEID
JF-Expert Member
- Feb 26, 2013
- 390
- 385
Phoenix siyo ya infinix mkuu, ni app inayojitegemea!apps za infinix hizi,miyeyusho sana yaani.
Halijui hiloWe mwenyewe umejitia matatani kupost ujinga wa mwenzio
Huyo ni uvccmWewe ni mmoja wa wasioamini katika uhuru was maoni na habari pamoja na utawala was sheria, pia upo lilekundi kukosolewa kwao no tusi.
Anajiona mjanja kuwa wa kwanza kutuletea umbeaHata wewe pia unatakiwa kushtakiwa kwa kusambaza habari ya uongo.
Labda kwa kumbambikiaAnajiona mjanja kuwa wa kwanza kutuletea umbea
Sifahamu inakuwaje, lakini kwenye simu zingine hadi u download.kwanini inawekwa as default ukinunua tu hilo simu??
Huhitaji Akili Kubwa sana kujua ya kwamba huenda Yeye ( Rais ) Samia akadhani kuwa anapendwa zaidi kuliko Hayati Rais Dkt. Magufuli ila Ukweli uliopo ni kwamba ndiyo anayechukiwa zaidi tena na Watu wa Chama chake Tawala na hata wale waliopo ( aliowakuta ) huko Serikalini.Inashangaza sana kuona TCRA wanashindwa kuwachukulia hatua za kisheria watu wanaopost habari za uongo kwenye mitandao kwa lengo la kupata viewers wengi.
ANGALIA HII HABARI!
View attachment 2010929