TCRA wanatutania

TCRA wanatutania

mkonowapaka

JF-Expert Member
Joined
Feb 19, 2010
Posts
1,492
Reaction score
768
nasema wanatutania kwasababu sijawahi kupiga simu kwenda mtandao mwingine kwa shs 115Tshs achilia mbali hata uiweke VAT ya 50%.........kwanza kabisa TCRA kama chombo kinachodhibiti ubora na garama ilibidi wafanye research halisi ya bei iliyopo na kisha watupe maelezo kama hiyo ni bei elekezi au ni actual price..........vinginevyo hizi namba tutaendelea kuzisom ahapa na maumivu mtindo mmoja.........TCRA kuweni siriaz na kazi yenu.........maana kwa tshs 35 ina maana hata garama ya on-net (ndani ya mtandao husika) itakua kubwa kuliko kupiga other networks?wasintanie
 
Weka vizuri ueleweke mkuu...u must have point here...
 
TCRA wamefanya kazi yao vizuri. Inatakiwa tuelewe kilichochupunguzwa ni "Interconnection Rate". Hii ni rate ambayo mtandao mmoja unalipa mtandao ungine. Kwa hiyo bei ya simu ambayo ulikuwa unalipa ilikuwa inainclude sh 113 kama unapiga mtandao mmoja kwenda ungine. Hii rate ndiyo imeshuka toka sh 113 hadi sh 34.92. Tusijue kulaumu tu lazima tuelewe issue.
 
Back
Top Bottom