New Manase
JF-Expert Member
- Sep 24, 2013
- 294
- 39
hamna we kama unasoma udom kaza upate gpa ya 4.5 hapo ukikosa shavu lalamika ila chini ya hapo dah majanga!mbna xaxa udom inaletewa mizengwe
Kama ni kweli bhas kazi, watachaguliwa wapi wakati vyuo karibia vyote vitakuwa vishagunguliwa? Anyway tusubili tuone,
Kama hao walochagiliwa wamekosa mkopo hawa wa 4th round kulikoni!
As the heading above
application starts on 14-25 october 2013
SOURCE TCU website
Mkuu unauchungu sana, ni kweli hii serikali haishauriki ni bora 2lete tifu kdogo patasomeka, ujue kile chuo wa2 wa kwenye vitengo ninamashaka na elim zao kidizaini kama wamepelekwa bila qualifications! Manake hawajielewi kabisa
naishangaa sana TCU kuna watu waliomba coz katika vyuo wanavyovipenda but leo mtu anashangaa kukuta coz aliyoihitaji bado ina nafasi za watu ku apply wakati kunawatu walikua na vigezo na wakashindwa kuwachukua??
TCU you must change kwa kweli what your doing is not fair.......!!
Kweli kabisa mkuu,hata mimi ilo suala lilinikuta
vp habari za transfer unaweza zifanya.kwa aliye ona tangazo atujulishe tafadhari