KUCHITIMBO1970
JF-Expert Member
- Apr 24, 2015
- 482
- 221
Ada elekezi kwa vyuo vikuu nchini itatolewa lini?.Au zilikuwa mbwembwe tu.
kama kichwa cha thread kinavyo sema
tcu guide book imetoka mwaka wa masomo
2015/2016
ada bado zile zile ....je swala la serikali kutoa ada elekezi lime fikia wapi
au ndo siasa hadi kwenye mambo ya maana
naomba kuwasilisha..........