TCU hacked by mouh marvel

elank54

JF-Expert Member
Joined
Aug 23, 2011
Posts
479
Reaction score
21
Huyu jamaa atakua na details zetu, kama yupo humu adondoshe mzigo
 
kunyang'anya, jamaa kajimilikisha tcu! Ahahaha
 
hii ndo bongo wakuu...kila kitu hooooooooooooooooovyoooooo anzia kwa kiranja wa nchi mpaka watu wa kawaida...siki zinaenda maisha yanasonga...
 
ku hack ni kutumia ujuzi wa mtu katika computer programming ili kuweza kuingilia taarifa za siri za mtu huyo katika e mail au website au software flan bila ya ridhaa ya muhusika. Nawasilisha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…