Maths-ALABDA UMEKOSA VIGEZO KATIKA MATOKEO YAKO YA FOUR MAANA MLIMAN SI HUWA WANA GRADE ZAO WANAZOZITAKA O LEVEL
dhibitisha kwamba watu wametusua sana na div 1 zimejaa,na zingatia huyo dogo ni PCMUlijiamin San ukajaza kozi Tatu tu?? Watu wametusua San dis year shule kibao zimejaa div1.. Ukome ila hpo sas hv utapat
Sio ww tu hayo yametukuta weng, mtu hakufikii ata kwa ufaulu alaf amechaguliwa ss wengne tumetemwaJamani Mimi ni form six leaver nliepata BCC Kwa PCM Nikaomba vyuo katika order hii
Civil eng-udsm
Electrical eng-udsm
Pharmacy-mumbl
Ofcoz sikuchaguliwa ila nnachoshangaa ni machali zangu wenye two ambao wameomba kwa mtiririko kama wangu wamepataa ila mm nimekosaaa.....apoo ndipo ninapoilaumu hii taasisi ya udahili wa vyuo vikuu kwamba haitendi hakii.....
Naomben nishaurini kwa huu mtindo mwingine nlioomba ntapataa...??
Telecoms eng-udsm
Comp eng-udsm
Comp eng -Dit
Ahsantenii saanaa wadau ....am stressed....!!!!
Huo mtiririko wa kwanza uweke uchague Mbeya University of science and Technology, tatizo mnang'ang'ania majina ya vyuo lakini kwenye Engineering employers wanajua products za vyuo vyote uwezo wao jina la chuo halina msaada sana.Jamani Mimi ni form six leaver nliepata BCC Kwa PCM Nikaomba vyuo katika order hii
Civil eng-udsm
Electrical eng-udsm
Pharmacy-mumbl
Ofcoz sikuchaguliwa ila nnachoshangaa ni machali zangu wenye two ambao wameomba kwa mtiririko kama wangu wamepataa ila mm nimekosaaa.....apoo ndipo ninapoilaumu hii taasisi ya udahili wa vyuo vikuu kwamba haitendi hakii.....
Naomben nishaurini kwa huu mtindo mwingine nlioomba ntapataa...??
Telecoms eng-udsm
Comp eng-udsm
Comp eng -Dit
Ahsantenii saanaa wadau ....am stressed....!!!!
Labda SIRO service in random order[emoji40]Your take ni Kweli mfumo wa TCU ulitakiwa uanze na Mwenye cutt off nying from 3 subject mfano wewe una BCC 4+3+3 =10 total sasa apa unakuta mtu ana 7 anapata chuo kama UDSM electriacal afu we na kumi kama cutt off unaanchwa TCU awako fair kabisa ,Am doubt sijui wanaapply FI-FO na LI-FO yaan First in -First out and Last in First out ,
We muongo CCD Hamna atakaepata civil huu mwaka.Mleta mada muongo sana,sema ukweli,nina dogo angu amepata UDSM(matokea ya awali yaliyowekwa humu kabla ya changes) Civil akiwa na PCM yenye CCD
wewe ndio liongo,eti Civil UDSM capacity ni 30,kasome guideline Civil ni 180 students,petroleum ni 20,electrical 40.usije kuwa unaangalia UD ya India.We muongo CCD Hamna atakaepata civil huu mwaka.
Sababu ya wao kukosa ni hii hapa.
1.One zpo nyngi.
2.admission capacity za koz z engneering kwa vyuo kama udsm ardhi DIT na must ni chache .
MFANO udsm petroleum=15 Electrical=60 civil=30.
3.This admission capacity n the same in DIT must ardhi na udsm.
4.naomba uniambie kuna division one ngap za PCM????
Nimeipenda hiiwewe ndio liongo,eti Civil UDSM capacity ni 30,kasome guideline Civil ni 180 students,petroleum ni 20,electrical 40.usije kuwa unaangalia UD ya India.
petroleum engineering, zpo 12 . ila kuna jamaa ana DDE ile j pili nliona kapata,sasa cjui ni uchawi au bahatiwewe ndio liongo,eti Civil UDSM capacity ni 30,kasome guideline Civil ni 180 students,petroleum ni 20,electrical 40.usije kuwa unaangalia UD ya India.
Sio muongo na bahati pia inachangia ujue....Mleta mada muongo sana,sema ukweli,nina dogo angu amepata UDSM(matokea ya awali yaliyowekwa humu kabla ya changes) Civil akiwa na PCM yenye CCD
True bahati tu na maombi Kwa sanaSio muongo na bahati pia inachangia ujue....
kuna wengine wana two wamepata na wengine one wamekosa..
Unahisi anataka kudanganya ilii iwejee...
Wachaa akilii uchwara wee kubwaa jingaaa...
Shame on uu
[emoji3] [emoji3] [emoji3] ndipo utakapojua kuwa dunian hamna hakpetroleum engineering, zpo 12 . ila kuna jamaa ana DDE ile j pili nliona kapata,sasa cjui ni uchawi au bahati
[emoji3] [emoji3] [emoji3] mmmmmh akil_uchwaraSio muongo na bahati pia inachangia ujue....
kuna wengine wana two wamepata na wengine one wamekosa..
Unahisi anataka kudanganya ilii iwejee...
Wachaa akilii uchwara wee kubwaa jingaaa...
Shame on uu
Nashauri.Jamani Mimi ni form six leaver nliepata BCC Kwa PCM Nikaomba vyuo katika order hii
Civil eng-udsm
Electrical eng-udsm
Pharmacy-mumbl
Ofcoz sikuchaguliwa ila nnachoshangaa ni machali zangu wenye two ambao wameomba kwa mtiririko kama wangu wamepataa ila mm nimekosaaa.....apoo ndipo ninapoilaumu hii taasisi ya udahili wa vyuo vikuu kwamba haitendi hakii.....
Naomben nishaurini kwa huu mtindo mwingine nlioomba ntapataa...??
Telecoms eng-udsm
Comp eng-udsm
Comp eng -Dit
Ahsantenii saanaa wadau ....am stressed....!!!!
Mkuu kuna kitu kidogo tu hujajua ni kuwa TCU HAWAHUSIKI NA KUCHAGUA WANAFUNZI BALI WAHUSIKA NI CHUO HUSIKAJamani Mimi ni form six leaver nliepata BCC Kwa PCM Nikaomba vyuo katika order hii
Civil eng-udsm
Electrical eng-udsm
Pharmacy-mumbl
Ofcoz sikuchaguliwa ila nnachoshangaa ni machali zangu wenye two ambao wameomba kwa mtiririko kama wangu wamepataa ila mm nimekosaaa.....apoo ndipo ninapoilaumu hii taasisi ya udahili wa vyuo vikuu kwamba haitendi hakii.....
Naomben nishaurini kwa huu mtindo mwingine nlioomba ntapataa...??
Telecoms eng-udsm
Comp eng-udsm
Comp eng -Dit
Ahsantenii saanaa wadau ....am stressed....!!!!