TCU hawajatoa matokeo ya Muslim University of Morogoro, wao wameshatoa yao !

TCU hawajatoa matokeo ya Muslim University of Morogoro, wao wameshatoa yao !

Lupweko

JF-Expert Member
Joined
Mar 26, 2009
Posts
23,566
Reaction score
24,891
Hivi karibuni TCU ilitangaza majina ya wanafunzi walioomba kwa sifa za elimu ya kidato cha sita kujiunga katika baadhi vyuo vya elimu ya juu kwa mwaka 2010/2011 (GONGA HAPA) . TCU kikiwa ndio chombo kinachohusika na ithibati ya viwango vya elimu ya juu, iliahidi kumalizia majina katika vyuo vilivyosalia. Lakini cha kushangaza baadhi ya vyuo vimeshatoa majina ya watakaojiunga na kuibypass TCU. Mfano mzuri ni "chuo kikuu" cha kiisilamu Morogoro (MUM) ambacho kimetoa majina tayari (GONGA HAPA). Swali langu:

1) TCU inawatambua hao wanafunzi waliochaguliwa kwa sifa za "direct entry" katika chuo hicho, na kwamba waliomba kupitia Central admission System (CAS) ya TCU?

2) Je, idadi yote ile imeingia kwa "Equivalent Qualifications" ?

3) Ikigundulika kama waliomba as "direct entry" na hawakupitia CAS ya TCU, yenyewe (TCU) inasemaje kuhusu kuvitambua vyeti vyao watakapohitimu?


Yeyote mwenye majibu anaweza kuniwekea hapa, ila muda wa registration ukifika na mambo yakawa hivi hivi hayajawekwa bayana, nitaipeleka hii kule TCU na kama wana majibu nitayaweka hapa, ili ikibidi hata vyuo vingine mwakani viibypass TCU.
 
Dear viewers, TCU is a body corporate mandated to recogize, approve, register and accredit universities operating in Tanzania, and local or foreign university level programs being offered by non -TCU registered higher education institutions. TCU also coordinates the proper functioning of all university institutions in Tanzania so as to foster a harmonized higher education system in the country. In order to ensure that such a harmonious higher education system does not compromise institutional peculiariies and autonomy, each univesity has the legal right to operate under its own charter.
Paradox (see bolded). Nahisi unahitaji kusoma sheria iliyoanzisha TCU ili uelewe mipaka yake. Jaribu kutafuta website ya bunge
 
Paradox (see bolded). Nahisi unahitaji kusoma sheria iliyoanzisha TCU ili uelewe mipaka yake. Jaribu kutafuta website ya bunge
Yeah, lakini swali langu mojawapo ni kwamba, kama University ikiamua kuoperate under its own charter, ndio kusema TCU itakuwa haikitambui?
 
Back
Top Bottom