Tcu help desk

Tcu help desk

Marco Polo

JF-Expert Member
Joined
Jan 16, 2014
Posts
11,786
Reaction score
18,562
Yaan kuna jamaa wapo hapo help desk wanakosa weledi kabisa..... Wakat mwngne huwa nahis ndo madhara ya kupeana kazi kwa kujuana..........hawana lugha nzur pia kuna mmoja huyo anavyoongea utafikir analazimishwa kufanya kazi pia anaweza kukuweka hewan mda mreeeeeefu .... Acheni hizo bwana mjirekebishe sio poa kabisa
 
Haya nimekuelewa nitawaambia na wenzangu tujirekebishe.
 
Mkuuu nafikiri na ujinga unachangia maana unayapigia simu the way yanajibu sasa,kiukweli yale majinga ya mwisho na hayakustahili kuwa pale na walaaniwe,mimi mdogo wangu week sasa amelipia na voucher alitumiwa lakini haifanyi kazi na wakipigiwa wanadai nilipe teena sasa ina maaana 50,000/= ya mwanzo ndo kusema imeliwa bila sababu ya msingi.:teeth:
 
Mkuuu nafikiri na ujinga unachangia maana unayapigia simu the way yanajibu sasa,kiukweli yale majinga ya mwisho na hayakustahili kuwa pale na walaaniwe,mimi mdogo wangu week sasa amelipia na voucher alitumiwa lakini haifanyi kazi na wakipigiwa wanadai nilipe teena sasa ina maaana 50,000/= ya mwanzo ndo kusema imeliwa bila sababu ya msingi.:teeth:

mimi hata number zao hazipatikani... na tatizo ni hilo hilo...
 
Mkuuu nafikiri na ujinga unachangia maana unayapigia simu the way yanajibu sasa,kiukweli yale majinga ya mwisho na hayakustahili kuwa pale na walaaniwe,mimi mdogo wangu week sasa amelipia na voucher alitumiwa lakini haifanyi kazi na wakipigiwa wanadai nilipe teena sasa ina maaana 50,000/= ya mwanzo ndo kusema imeliwa bila sababu ya msingi.:teeth:

Ndo hivyo mkuu yaan jamaa hawakustahili kabisa kuwepo pale Sema ndo hivyo nchi yetu hii ajira wanapeana kwa kujuana madhara yake ndo haya ya mtu kushindwa kuwajibika kwenye nafas yake kwa vile anajua yupo wa kumlinda hata akiharibu
 
Mkuuu nafikiri na ujinga unachangia maana unayapigia simu the way yanajibu sasa,kiukweli yale majinga ya mwisho na hayakustahili kuwa pale na walaaniwe,mimi mdogo wangu week sasa amelipia na voucher alitumiwa lakini haifanyi kazi na wakipigiwa wanadai nilipe teena sasa ina maaana 50,000/= ya mwanzo ndo kusema imeliwa bila sababu ya msingi.:teeth:

Kama una vivid evidence kwamba hiyo pesa wameipokea basi hiyo ni haki yako lazima upewe tu .. ... Kama inawezekana tafuta hata ushaur wa kisheria ingawa pesa yenyewe ndogo Lakin lazima wakulipe na usumbufu utakaopata....... Nikuwashtua kidogo maana wamejisahau sana hawa watu
 
Back
Top Bottom