TCU hii sasa imevunja record!

TCU hii sasa imevunja record!

Salary Slip

Platinum Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
49,390
Reaction score
152,301
Jamani muda huu nimelog in kwenye account yangu kuona kama kuna jipya.Cha ajabu nimekuta ktk zile program nilizochagua kuna moja imeondolewa na badala yake kwenye ile nafasi nimekuta kozi nyingine ya chuo kingine.Kozi niliyoikuta niliwahi kuiweka ila nilikuja kuibadilisha na sikuwahi kuirudisha tena mpaka ule muda wa kufanya changes ulipoisha.Na siku zote ilikuwa haipo ila nimeshangaa kuikuta sasa hivi.

Naomba kama kuna mwingine amekuta kitu kama hiki atujuze.
 
Usijali mkuu selection tayari, so usiogope kijana
 
Hiyo kozi uliyoikuta ni ya chuo gani?
 
ndio ukawe mwalimu sasa,ulitaka nani awe ticha?
 
Jamani muda huu nimelog in kwenye account yangu kuona kama kuna jipya.Cha ajabu nimekuta ktk zile program nilizochagua kuna moja imeondolewa na badala yake kwenye ile nafasi nimekuta kozi nyingine ya chuo kingine.Kozi niliyoikuta niliwahi kuiweka ila nilikuja kuibadilisha na sikuwahi kuirudisha tena mpaka ule muda wa kufanya changes ulipoisha.Na siku zote ilikuwa haipo ila nimeshangaa kuikuta sasa hivi. Naomba kama kuna mwingine amekuta kitu kama hiki atujuze.
Dah!! man me mwenyewe hivyo hivyo..niliwekaga medicine kama first choice nikabadili na kuweka pharmacy sasa hivi nimekuta medicine kama first choice...hawa tcu wanacheza na akili zetu mazee...
 
jamani form6 livaz selection bado mpaka mwezi wa tisa ok! kwa iyo kama ni tempopigen,kamanikulimalimeni sana ,
 
Dah!! man me mwenyewe hivyo hivyo..niliwekaga medicine kama first choice nikabadili na kuweka pharmacy sasa hivi nimekuta medicine kama first choice...hawa tcu wanacheza na akili zetu mazee...

matokeo yako yakoje?
 
Selection teyari.. Mnachkiona ni just database error, yaani imeingia virus
'Acheni kuvunjana moyo, woote mtaenda vyuo mnavyo vitaka..
 
Selection teyari.. Mnachkiona ni just database error, yaani imeingia virus
'Acheni kuvunjana moyo, woote mtaenda vyuo mnavyo vitaka..

so sweet! Unfortunately life aint so much
 
https://www.jamiiforums.com/members/mpigamsuli.html
jamani form6 livaz selection bado mpaka mwezi wa tisa ok! kwa iyo kama ni tempopigen,kamanikulimalimeni sana ,
alafu hii kitu ukute ni ukweli ndani yake
 
Back
Top Bottom