Tcu jamani,ugonjwa wa moyo

Tcu jamani,ugonjwa wa moyo

BONANJE

Member
Joined
Jul 13, 2012
Posts
34
Reaction score
3
Wadau,nisaidieni nipo huku s/wanga course zangu inapata wiki sasa check in progress,wakati zilikuwa vizuri tu
kwa anaye fahamu lolote anisaidie maana tcu cm hawapokei.
 
Tuliza kichwa kijana selection tayari zimefanyika, hiyo checking in progress......ni system failure ya CAS. So usiogope
 
Ndo basi tena,mpaka mwakan hvo.
 
Selection tayar, kama uliapply udsm pm me ur full name nichek kama tupo wote mkuu
 
kuna jamaa angu faza ake ni prof. udsm, ss alikuj hom na folder lilikuw na selection za udsm xo akaona jina langu limechaguliw udsm

hongera mkuu.....kozi gan..?? Au ndo ile bachelor of diseases and death planning??
 
Oyo ni kweli selection tayari? Mbna kuna mtu kaniambia ni mwezi wa nane mwishoni? Nipeni ukweli wa hili wakubwa!
 
Wadau,nisaidieni nipo huku s/wanga course zangu inapata wiki sasa check in progress,wakati zilikuwa vizuri tu
kwa anaye fahamu lolote anisaidie maana tcu cm hawapokei.

kwan mwana una ngapi?? Maaana .......
 
mbona sijaona jina lako,maana tuliochaguliwa hyo kozi pale udsm tuko 76 tu?

ww endelea kujipa moyo, ungejua mm hata ncengejua kwamba nmechaguliw nlikuw cna wacwac mana nina one matata
 
huna cha kunifanya niamini.selection bado hata hazijapelekwa vyuon bana.

cjasema selection zmepelekwa vyuoni nmesema kuna prof, wa udsm anazo selection za udsm, kichwa yako ngum sana kuelewa mkuu
 
Back
Top Bottom