Selection tayar, kama uliapply udsm pm me ur full name nichek kama tupo wote mkuu
Selection tayar, kama uliapply udsm pm me ur full name nichek kama tupo wote mkuu
selection tayar, wajanja tushajua tumepangiwa wap
oya umejuaje mkuu nambie bac na mm jinsi ya kufanya!
oya umejuaje mkuu nambie bac na mm jinsi ya kufanya!
kuna jamaa angu faza ake ni prof. udsm, ss alikuj hom na folder lilikuw na selection za udsm xo akaona jina langu limechaguliw udsm
hongera mkuu.....kozi gan..?? Au ndo ile bachelor of diseases and death planning??
anakuzingua tu,hakuna ajuaye!
cna haja ya kukufanya uamini
ni bachelor of commerce in finance mkuu
Wadau,nisaidieni nipo huku s/wanga course zangu inapata wiki sasa check in progress,wakati zilikuwa vizuri tu
kwa anaye fahamu lolote anisaidie maana tcu cm hawapokei.
mbona sijaona jina lako,maana tuliochaguliwa hyo kozi pale udsm tuko 76 tu?
huna cha kunifanya niamini.selection bado hata hazijapelekwa vyuon bana.