Tcu jina lipo,chuoni jina halipo

IDUKILO

Member
Joined
Jul 11, 2012
Posts
14
Reaction score
3
Jamani wana jf mimi ni kati ya watu waliochaguliwa kujiunga na chuo cha kairuki lakini jina chuoni halipo cha kushangaza ukienda chuoni wanasema rudi tcu ukienda tcu wanakwambia,ukiona jina chuoni halipo basi chuo kimekukataa yaani huna sifa za kujiunga na chuo hicho.
sasa swali kazi ya tcu ni nini?, na iweje tcu wakuone una sifa halafu chuo kikuone huna sifa jamani naomba mnisaidie.
 
du mkubwa hapo labda angalia ufaulu wako kama vip wape kitu kidogo
 
dah mkuu pole sana!! na hiyo shida si yako tu wengi sana washakuja hapa JF kwa tatizo kama lako!! ila hapo wenye shida ni tcu na sio chuo...sasa hapo wabane wakwambie cha kufanya maana mda unazidi kwenda....
 

kijana inaonekana pesa iko kama vipi? Wahonge upate nafasi
 
Subiri second round selection. Dead line ya kuomba si imepita jana?
 
hili tatizo ni serious sio kama baadhi yetu tunavyolidhihaki. TCU wanahusika moja kwa moja kwani walikuwa na muda wa kuamua Eligibility ya mtu katika chuo husika na kumpa admission. kama vyuo navyo vinaanza selection za kwao kwa candidates wale2 basi mfumo mzima una tatizo.

nina mfano hai wa mtu ambaye TCU wamemu admit SUA - BRD lakini kwenye orodha ambayo iko website ya SUA hayumo - ni usumbufu huo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…