Sema shida yako kijana
Jaman mwenzenu skubahatika kuchungulia post zilionyeshwa via airtel. But nilijaribu ku log in a/c yangu inaonyesha Selection Status; Not Yet processed! Heslb nao wametoa jina langu halina cheti cha kuzaliwa ila nimeshakituma via Ems toka alhamis iliyopta. Hasa nashndwa kuelewa nmeshakosa chuo au? Maana tayari nmepoteza mwaka mzma mtaani.
pole sana ila naomba kujua cheti cha kuzaliwa ulituma original copy au photocopy?
Jaman mwenzenu skubahatika kuchungulia post zilionyeshwa via airtel. But nilijaribu ku log in a/c yangu inaonyesha Selection Status; Not Yet processed! Heslb nao wametoa jina langu halina cheti cha kuzaliwa ila nimeshakituma via Ems toka alhamis iliyopta. Hasa nashndwa kuelewa nmeshakosa chuo au? Maana tayari nmepoteza mwaka mzma mtaani.
Jaman mwenzenu skubahatika kuchungulia post zilionyeshwa via airtel. But nilijaribu ku log in a/c yangu inaonyesha Selection Status; Not Yet processed! Heslb nao wametoa jina langu halina cheti cha kuzaliwa ila nimeshakituma via Ems toka alhamis iliyopta. Hasa nashndwa kuelewa nmeshakosa chuo au? Maana tayari nmepoteza mwaka mzma mtaani.