Oya masela, chekini chekini emails zenu, tcu mambo teyari bwana wamesha anza tuma selection za vyuo! Namshukuru mungu nime-receive mail ya selection yangu. Ila Siyo kwa vyuo vyote, so kwa yeyote aliepata emails toka chuo chochote, ruhusa kutiririka na atujuze ili awapunguzie pressure wengine
ndo mambo ya teknology hayo,
kutoka kwenye barua na majina magazetini mpaka kwenye kutumiwa email.
safi sana.
kijana acha kuchanganya watu akili,we umepangiwa wapi?? na ni vyuo gani wametoa selection bila kutangaza?? selections hazijatoka kwa nnavyojua!! labda kama kuna TCU nyingine hapa TZ..FIKIRI KABLA YA KUCHUKUA HATUA!!!Oya masela, chekini chekini emails zenu, tcu mambo teyari bwana wamesha anza tuma selection za vyuo! Namshukuru mungu nime-receive mail ya selection yangu. Ila Siyo kwa vyuo vyote, so kwa yeyote aliepata emails toka chuo chochote, ruhusa kutiririka na atujuze ili awapunguzie pressure wengine
umejiuliza kwanini hajuakujibu?? ni vitoto vijinga vnavyochezea watu humu jamvin!!!! ku****vu!!!!Hongera kijana,vp hicho ni chuo gani walichokutumia
umejiuliza kwanini hajuakujibu?? ni vitoto vijinga vnavyochezea watu humu jamvin!!!! ku****vu!!!!
Hayo mambo nilishamaliza kitambo nduguyangu.vp kaka we ushapata au?
kijana acha kuchanganya watu akili,we umepangiwa wapi?? na ni vyuo gani wametoa selection bila kutangaza?? selections hazijatoka kwa nnavyojua!! labda kama kuna TCU nyingine hapa TZ..FIKIRI KABLA YA KUCHUKUA HATUA!!!
mbna sijaona email yoyote
hongera na thn kwa taarifa