Mpigamsuli
JF-Expert Member
- May 24, 2012
- 3,885
- 582
Dah nimeamini si waha tu ndo wabishi hta humu wamo.
kwa hiyo we umeisha reply?
Oya masela, its herbert kairuki memorial university, then ni email ambayo imetumwa kwa watu wengi tu! Cause kunalist ya email addresses za watu waliotumiwa zimeambatanishwa. Pamoja na jina na address ya admission officer ili uweze reply. Napia si huko tuu. Nimesikia pia kuna baadhi ya watu wanasema kuna vyuo vingine pia wametumiwa, basi kama kuna mwingine atujuze
sasa atleast umenishawishi!! na hii ndo ki2 tulikua twataka!!! congratulations bro!!!!!oya masela eeeh isiwe tabu basiiiiiiiii! i was posting this post over my mobile phone, cause modem sikuwa nayo at that moment. ila mail nilioipata ilisomeka hivi
[TABLE="width: 0"]
[TR]
[TD][TABLE="width: 573"]
[TR]
[TD]Paschalis Rugarabamu dvcac@hkmu.ac.tz[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[/TD]
[TD]Jul 26 (1 day ago)
[/TD]
[TD][/TD]
[TD]
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 3"][TABLE="width: 712"]
[TR]
[TD]to fatmaseif18, jujume, rena2scus, missdestiny2009, vivekkeshani, raya.s.hamad, mariaagnesmbat., kwetuTz, irenemaseke, dmwindadi, godfreyronald, nassramuhiddyn, kiwaasaid, jumambondey, Chivanga_92, fregina43, allyally0022, njegixjr, t.moxamed, fcelestine40, shabir52, graceomario, lailatf, arafathh93, dr.davanthony
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
Dear APPLICANT,
1. We have received information from TCU Central Admission System (CAS) regarding your choice to study Doctor of Medicine MD (HK001) at HKMU 2012/2013.
2. We commend and thank you for the choice to study at our institution.
3. The Senate Admissions Committee met on Wednesday July 25[SUP]th[/SUP], 2012, and discussed your application attributes in line with the minimum requirements to pursue MD at HKMU.
4. We are happy to inform you that you meet the minimum requirements to be admitted to the Doctor of Medicine MD programme (HK001) for which you have been selected.
5. Please inform us of your acceptance by addressing your reply to The Admissions Officer (admissions@hkmu.ac.tz).
6. We are waiting to hear from you soon.
Yours Sincerely,
Janet Mkale
Admissions Officer
sasa atleast umenishawishi!! na hii ndo ki2 tulikua twataka!!! congratulations bro!!!!!
hapo umechemsha???!!!!Unao nilijua vitakua ni vyuovilevile vya kibiashara wanafunzi wake wasiojua kudai haki
daah but hako ka milioni tano na point ni kakubwa
nitafanya nini sasa, muhimbili competition kubwa cause mijitu mingiii plus tcu ndio mpangaji tena basi inanibidi ni kubali matokeo and take it as an investment cause si unajua tena udaktari una future nzuri, huo mshiko utarudi tuu and pia sikuna mkopo wa 2.6mil zakunipiga tafu, uzuri gharama si unaelewa mwenyewe
oya masela eeeh isiwe tabu basiiiiiiiii! i was posting this post over my mobile phone, cause modem sikuwa nayo at that moment. ila mail nilioipata ilisomeka hivi
[TABLE="width: 0"]
[TR]
[TD][TABLE="width: 573"]
[TR]
[TD]Paschalis Rugarabamu dvcac@hkmu.ac.tz
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[/TD]
[TD]Jul 26 (1 day ago)
[/TD]
[TD][/TD]
[TD]
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 3"][TABLE="width: 712"]
[TR]
[TD]to fatmaseif18, jujume, rena2scus, missdestiny2009, vivekkeshani, raya.s.hamad, mariaagnesmbat., kwetuTz, irenemaseke, dmwindadi, godfreyronald, nassramuhiddyn, kiwaasaid, jumambondey, Chivanga_92, fregina43, allyally0022, njegixjr, t.moxamed, fcelestine40, shabir52, graceomario, lailatf, arafathh93, dr.davanthony
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
Dear APPLICANT,
1. We have received information from TCU Central Admission System (CAS) regarding your choice to study Doctor of Medicine MD (HK001) at HKMU 2012/2013.
2. We commend and thank you for the choice to study at our institution.
3. The Senate Admissions Committee met on Wednesday July 25[SUP]th[/SUP], 2012, and discussed your application attributes in line with the minimum requirements to pursue MD at HKMU.
4. We are happy to inform you that you meet the minimum requirements to be admitted to the Doctor of Medicine MD programme (HK001) for which you have been selected.
5. Please inform us of your acceptance by addressing your reply to The Admissions Officer (admissions@hkmu.ac.tz).
6. We are waiting to hear from you soon.
Yours Sincerely,
Janet Mkale
Admissions Officer
ni kakubwa lkn kwenye kulipa ndo mtafutano....daah but hako ka milioni tano na point ni kakubwa
oya masela eeeh isiwe tabu basiiiiiiiii! i was posting this post over my mobile phone, cause modem sikuwa nayo at that moment. ila mail nilioipata ilisomeka hivi
[TABLE="width: 0"]
[TR]
[TD][TABLE="width: 573"]
[TR]
[TD]Paschalis Rugarabamu dvcac@hkmu.ac.tz
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[/TD]
[TD]Jul 26 (1 day ago)
[/TD]
[TD][/TD]
[TD]
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 3"][TABLE="width: 712"]
[TR]
[TD]to fatmaseif18, jujume, rena2scus, missdestiny2009, vivekkeshani, raya.s.hamad, mariaagnesmbat., kwetuTz, irenemaseke, dmwindadi, godfreyronald, nassramuhiddyn, kiwaasaid, jumambondey, Chivanga_92, fregina43, allyally0022, njegixjr, t.moxamed, fcelestine40, shabir52, graceomario, lailatf, arafathh93, dr.davanthony
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
Dear APPLICANT,
1. We have received information from TCU Central Admission System (CAS) regarding your choice to study Doctor of Medicine MD (HK001) at HKMU 2012/2013.
2. We commend and thank you for the choice to study at our institution.
3. The Senate Admissions Committee met on Wednesday July 25[SUP]th[/SUP], 2012, and discussed your application attributes in line with the minimum requirements to pursue MD at HKMU.
4. We are happy to inform you that you meet the minimum requirements to be admitted to the Doctor of Medicine MD programme (HK001) for which you have been selected.
5. Please inform us of your acceptance by addressing your reply to The Admissions Officer (admissions@hkmu.ac.tz).
6. We are waiting to hear from you soon.
Yours Sincerely,
Janet Mkale
Admissions Officer
huyu dogo anaota usingizini mbona hataji chuo alicho pata?
Mkuu na ukingia katika Account yako ya CAS kwenye selection status unaona nini??
nadhan inaweza ikawa kwel sababu kuna rafiki yangu nae kaniambia katumiwa mail kwamba amechaguliwa hiyohiyo kairuki..!
nadhan ni kairuki pekeyake..! Sisi wengine tusubirie..
Oya masela, chekini chekini emails zenu, tcu mambo teyari bwana wamesha anza tuma selection za vyuo! Namshukuru mungu nime-receive mail ya selection yangu. Ila Siyo kwa vyuo vyote, so kwa yeyote aliepata emails toka chuo chochote, ruhusa kutiririka na atujuze ili awapunguzie pressure wengine