Tcu mambo teyari 4 some universities, pls check your emails

PTZ,Vp huna tetesi zozote zingine,maana wengine wanatangaza kupata vyuo,mimi zimpungua eligible na zisizo eligible kuwa eligible leo,hivi ninini kinaendelea/nijuze kama wajua
 
kwa hiyo we umeisha reply?

Kijana maswali mengi ya nini?? we si umetaka uthibitisho...si ndio huo jamaa kauweka...ama we ukitaka nini?? Kama hujatumiwa kuwa mpole subiria mwakani tu...khaaa!! We ni zaidi ya thomaso aiseee!! Suala la yeye kueply ama la we halikuhusu, muulize mwenye hiyo email au dawati la admission. Acha watu wale bata bwana!!
 

Unao nilijua vitakua ni vyuovilevile vya kibiashara wanafunzi wake wasiojua kudai haki wacha tusubirvyuo vya kijeshi tuangalie kama madogo wetu watachukuliwa
 
sasa atleast umenishawishi!! na hii ndo ki2 tulikua twataka!!! congratulations bro!!!!!
 
daah but hako ka milioni tano na point ni kakubwa

nitafanya nini sasa, muhimbili competition kubwa cause mijitu mingiii plus tcu ndio mpangaji tena basi inanibidi ni kubali matokeo and take it as an investment cause si unajua tena udaktari una future nzuri, huo mshiko utarudi tuu and pia sikuna mkopo wa 2.6mil zakunipiga tafu, uzuri gharama si unaelewa mwenyewe
 

baasi hako ka milioni tatu na point kwa mwaka daah b'do kakubwa sana
 

Mkuu nq ukingia katika Account yako ya CAS kwenye selection status unaona nini??[/b[
 

Mkuu na ukingia katika Account yako ya CAS kwenye selection status unaona nini??
 
huyu dogo anaota usingizini mbona hataji chuo alicho pata?
 
Mungu atusaidie na sisi wengine,ukilogin kwenye account za tcu ndo kuna mambo ya ajabu zaidi.
 
Mkuu na ukingia katika Account yako ya CAS kwenye selection status unaona nini??

normal tu kama ilivyo kuwa mwanzo, hakuna jipya. its like i said earler bado selection hawajazi upload
 

[TABLE="align: center"]
[TR="bgcolor: #ffffff"]
[TD="colspan: 2"]

[TD="colspan: 2"] For those (Form Six Applicants only) with programmes marked "NOT ELIGIBLE or CHECK IN PROGRESS...."
Please >> CLICK HERE << to check for eligibility.
Applicants in category of Diploma NTAL6,Diploma in Teaching,FTC and Foreigners with both O-level & A-level Certificates are adviced to be patient as the system is checking their programmes underground
[TABLE="align: center"]
[TR]
[TD="width: 12%"]
Code​
[/TD]
[TD="width: 19%"]
Description​
[/TD]
[TD="width: 20%"]
Institution​
[/TD]
[TD="width: 10%"]
Priority​
[/TD]
[TD="width: 16%"]
Selection Status​
[/TD]
[TD="width: 16%"]
Eligibility Status​
[/TD]
[TABLE="align: center"]
[TR]
[TD="width: 12%"]
UDD02​
[/TD]
[TD="width: 19%"]
Bachelor of Education in Science​
[/TD]
[TD="width: 20%"]
Dar es Salaam University College of Education​
[/TD]
[TD="width: 10%"]
1​
[/TD]
[TD="width: 16%"]
Not yet processed​
[/TD]
[TD="width: 16%"]
Not Eligible​
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="align: center"]
[TR]
[TD="width: 12%"]
UDD03​
[/TD]
[TD="width: 19%"]
Bachelor of Science with Education​
[/TD]
[TD="width: 20%"]
Dar es Salaam University College of Education​
[/TD]
[TD="width: 10%"]
2​
[/TD]
[TD="width: 16%"]
Not yet processed​
[/TD]
[TD="width: 16%"]
Eligible​
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="align: center"]
[TR]
[TD="width: 12%"]
SU011​
[/TD]
[TD="width: 19%"]
Bachelor of Science Education (Geography and Biology)​
[/TD]
[TD="width: 20%"]
Sokoine University of Agriculture​
[/TD]
[TD="width: 10%"]
3​
[/TD]
[TD="width: 16%"]
Not yet processed​
[/TD]
[TD="width: 16%"]
Eligible​
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="align: center"]
[TR]
[TD="width: 12%"]
SU009​
[/TD]
[TD="width: 19%"]
Bachelor of Science Education (Chemistry and Biology)​
[/TD]
[TD="width: 20%"]
Sokoine University of Agriculture​
[/TD]
[TD="width: 10%"]
4​
[/TD]
[TD="width: 16%"]
Not yet processed​
[/TD]
[TD="width: 16%"]
Eligible​
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="align: center"]
[TR]
[TD="width: 12%"]
UDM01​
[/TD]
[TD="width: 19%"]
Bachelor of Education in Science​
[/TD]
[TD="width: 20%"]
Mkwawa University College of Education​
[/TD]
[TD="width: 10%"]
5​
[/TD]
[TD="width: 16%"]
Not yet processed​
[/TD]
[TD="width: 16%"]
Eligible​
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="align: center"]
[TR]
[TD="width: 12%"]
UDM03​
[/TD]
[TD="width: 19%"]
Bachelor of Science with Education​
[/TD]
[TD="width: 20%"]
Mkwawa University College of Education​
[/TD]
[TD="width: 10%"]
6​
[/TD]
[TD="width: 16%"]
Not yet processed​
[/TD]
[TD="width: 16%"]
Eligible​
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="align: center"]
[TR]
[TD="width: 12%"]
DM059​
[/TD]
[TD="width: 19%"]
Bachelor of Science with Education​
[/TD]
[TD="width: 20%"]
University of Dodoma​
[/TD]
[TD="width: 10%"]
7​
[/TD]
[TD="width: 16%"]
Not yet processed​
[/TD]
[TD="width: 16%"]
Eligible​
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="align: center"]
[TR]
[TD="width: 12%"]
DM057​
[/TD]
[TD="width: 19%"]
Bachelor of Education in Science​
[/TD]
[TD="width: 20%"]
University of Dodoma​
[/TD]
[TD="width: 10%"]
8​
[/TD]
[TD="width: 16%"]
Not yet processed​
[/TD]
[TD="width: 16%"]
Eligible​
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 2"] There are
31 Online
Users right now who have logged in to Central Admission System v2[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
© 2012 Tanzania Commission for Universities
Facilitated By:[Dar Teknohama Business Incubator-DTBi] Developed By:[DigitalBrain Co. Ltd] & [Proges
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…