Jamani kwa wanafunzi, tulioomba maombi ya kujiunga chuo, mbona leo tunaandikiwa SORRY YOU HAVE NOT DONE APPLICATION, sasa ndo nini hiki? Wakati tushafanya? Hebu nisaidieni wadau.
Jamani kwa wanafunzi, tulioomba maombi ya kujiunga chuo, mbona leo tunaandikiwa SORRY YOU HAVE NOT DONE APPLICATION, sasa ndo nini hiki? Wakati tushafanya? Hebu nisaidieni wadau.