TCU mbona hawaeleweki?

prince zodiac

Member
Joined
Jun 27, 2013
Posts
40
Reaction score
9
Jamani kwa wanafunzi, tulioomba maombi ya kujiunga chuo, mbona leo tunaandikiwa SORRY YOU HAVE NOT DONE APPLICATION, sasa ndo nini hiki? Wakati tushafanya? Hebu nisaidieni wadau.
 
Hayo ni matatizo ya kimtandao,maana kila mtu analalamika ivo ivo.
 
Jamani kwa wanafunzi, tulioomba maombi ya kujiunga chuo, mbona leo tunaandikiwa SORRY YOU HAVE NOT DONE APPLICATION, sasa ndo nini hiki? Wakati tushafanya? Hebu nisaidieni wadau.

that means u wll have to apply for the secnd round b4 9 august otherwise imekula kwako
 
hapo system imefungwa kwa wale ambao majina yao hayakutolewa .So that means system inataka ianze kufanya kazi ya kuselect.
 
hapo inataka ku2onyesha chuo gan umepata kwa wa frst round selctn
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…