Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwanachuo anayesoma Bachelor of Arts with Education,mojor subject ni Computer science.kuna usawa hapo?HIKI NI CHUO KIKUU CHA TUMAINI MAKUMIRA.
Kwan shida iko wapi?
unafahamu computer science kweli.
Ni vigumu kwa mtu aliyesoma arts kufanya vizuri kwenye computer science.
Maprogrammer wazuri ni wale ambao ni wazuri kwenye hesabu, je Arts ni wazuri kwenye hesabu?
Inahusisha sana mathematics kama Foundations Analysis, Numeric Analysis, Operational Research, Discrete Mathematics n.k. Je Arts ana uwezo wa kuyamudu haya?
Kuna Programing ing Java, c ,c++ n.k, zinahitaji mathematics je arts ana uwezo wj kumudu?.
Hitimisho:
hapo ni uhuni mtupu, na wanachafua jina la hiyo kozi.
kweli Elimu imevamiwa. Kwahiyo anakula ma-programing!.
Nategemea miaka michache ijayo kusikia arts nao wanasoma engineering.
Kwao ni suala la kawaida kama mtu wa HGL unampeleka kwenda kusoma kozi zenye full number unategemea nini mtu ambaye aliacha hesabu toka o level
siku hizi umekua kweli höngera! MZEE
Tukumbuke,hata Mzee ana emotions!Siku akijisahau ku act ukauzu,utaona anaongea kibinadamu zaidi!Hahaha.Belivdatdaah, nashukuru kwa matusi yako.
Mwalimu gani asiyejua hesabu?Yaan kuwa mwalimu wa lugha ndio kukufanye ushindwe hesabu kabisaaa?Hiyo programming sio engineering jamani,unaposema kitu kina mahesabu makali sana,uwe umekisoma!Huwezi fananisha na Engineering!Our teachers should be smart,and smart people should understand maths a bit!unafahamu computer science kweli.
Ni vigumu kwa mtu aliyesoma arts kufanya vizuri kwenye computer science.
Maprogrammer wazuri ni wale ambao ni wazuri kwenye hesabu, je Arts ni wazuri kwenye hesabu?
Inahusisha sana mathematics kama Foundations Analysis, Numeric Analysis, Operational Research, Discrete Mathematics n.k. Je Arts ana uwezo wa kuyamudu haya?
Kuna Programing ing Java, c ,c++ n.k, zinahitaji mathematics je arts ana uwezo wj kumudu?.
Hitimisho:
hapo ni uhuni mtupu, na wanachafua jina la hiyo kozi.
Mwanachuo anayesoma Bachelor of Arts with Education,mojor subject ni Computer science.kuna usawa hapo?HIKI NI CHUO KIKUU CHA TUMAINI MAKUMIRA.
Kwao ni suala la kawaida kama mtu wa HGL unampeleka kwenda kusoma kozi zenye full number unategemea nini mtu ambaye aliacha hesabu toka o level
Mwalimu gani asiyejua hesabu?Yaan kuwa mwalimu wa lugha ndio kukufanye ushindwe hesabu kabisaaa?Hiyo programming sio engineering jamani,unaposema kitu kina mahesabu makali sana,uwe umekisoma!Huwezi fananisha na Engineering!Our teachers should be smart,and smart people should understand maths a bit!
Hatutaki walimu zero kichwani!Belivdat
unafahamu computer science kweli.
Ni vigumu kwa mtu aliyesoma arts kufanya vizuri kwenye computer science.
Maprogrammer wazuri ni wale ambao ni wazuri kwenye hesabu, je Arts ni wazuri kwenye hesabu?
Inahusisha sana mathematics kama Foundations Analysis, Numeric Analysis, Operational Research, Discrete Mathematics n.k. Je Arts ana uwezo wa kuyamudu haya?
Kuna Programing ing Java, c ,c++ n.k, zinahitaji mathematics je arts ana uwezo wj kumudu?.
Hitimisho:
hapo ni uhuni mtupu, na wanachafua jina la hiyo kozi.
Dah,we wa wapi mkuu?Mbona wengi tu nawafahamu walikuwa hizo combi na wamepiga Computer Science tena bachelor!!EGM,PCB na CBG wenyewe hawagusi hii computer science,itakuwa ngwini!acheni utani labda certificate!!FAni yetu imeingiliwa!
MZEE hii post yako umeijibu kwa umakini mkubwa sana na kama itawezekana uwe unaendelea kutoa michango ya namna hii ili lengo la jukwaa la elimu lifikiwe.