Tcu mnanionea..!!!

Tcu mnanionea..!!!

kdany

Senior Member
Joined
Jul 20, 2012
Posts
149
Reaction score
25
Wakuu,nadhani tatizo kama langu limewapata wengi,niliomba vyuo kulingana na uwezo wangu,na anaeni spons yupo dar,na anataka niwe pale ili asiingie cost kubwa katka kunisaidia kimaisha,lakini cha kushangaza,DUCE nilikuwa ELIGBLE,na nikamshukuru Mungu kwamba ntapata msaada mzuri mpaka namalza chuo,cha kushangaza hawa jamaa wamenichagua TEKU,chuo ambacho hata sikujaribu kukiomba,kutokana na gharama zake na c hvyo tu bal hata hakikuendana na condition nilzopewa na sponser wangu,sasa wakuu,kuna kitu naweza kufanya kama kubadilisha chuo il nifikie malengo yangu,na kama ni ndio naanzia wapi?ukizingatia sikuomba mkopo due to some problems.thank you.
 
Kawaone tcu,watakupa go ahead kaka!bt mchakato utakaoufanya ni kuomba uhamsho!kwakua tcu wanahucka na uhamsho watakukubalia kuhama!uc hanye sn kaka!do that
 
Kawaone tcu,watakupa go ahead kaka!bt mchakato utakaoufanya ni kuomba uhamsho!kwakua tcu wanahucka na uhamsho watakukubalia kuhama!uc hanye sn kaka!do that

uhamsho ndio nini..
 
Back
Top Bottom